• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • OSBC

Utawala na Rasilimali Watu

MAJUKUMU YA IDARA:

Idara ya Utumishi Na Utawala inatoa huduma mbalimbali kama ifuatavyo:

  1. Kuajiri (Kuingiza watumishi wapya kwenye payroll

  2. Kupandisha vyeo watumishi wa idara mbalimali (Promotion.)

  3. Kuwaondoa kwenye payroll watumishi waliostaafu, kufariki, kuacha kazi na utoro wa muda mrefu.

  4. Usimamizi wa watumishi katika maslahi mbalimbali ya kiututumishi kama nidhamu.

  5. Kusimamia taarifa za kiutumishi na mishahara (Human Capital Management Information System (HCMIS-Lawson).

  6. Kuandaa mpango wa mafunzo wa halmashauri na mahitaji ya mafunzo kwa watumishi.

  7. Kuratibu mahudhurio ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa.

  8. Kuandaa taarifa za idara, taarifa za Tume ya Utumishi wa Umma, taarifa za utekelezaji za robo mwaka.

  9. Kutunza na kujaza rejesta za taarifa mbalimbali za watumishi mfano walioacha kazi, watoro, waliofariki, waliohama, waliohamia, waliostaafu.

  10. Kuratibu mpango wa likizo ya mwaka kwa watumishi “Leave roster.

  11. Kusimamia suala la ujazaji wa fomu za OPRAS kwa watumishi wa Halmashauri na Idara ya Utawala.

  12. Kuandaa takwimu za kiutumishi za Halmashuari.

  13. Kuandaa na kusimamia sera ya usimamizi na uendeshaji wa ofisi ya Halmashauri.

  14. Kuandaa bajeti ya idara ya utawala kwa kila mwaka wa fedha.

  15. Kuandaa mpango wa manunuzi wa Idara ya Utawala.

  16. Kusimamia watendaji wa vijiji na kata kuhusu kuitisha mikutano ya kisheria na utekelezaji wa shughuli za utawala bora.

  17. Kuandaa taarifa ya kila robo ya mikutano ya kisheria iliyofanyika kwa ngazi zote na kuiwasilisha katika taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Serikali za kila robo.

  18. Kuandaa bajeti ya mishahara (PE) na kuingiza kwenye mfumo wa taarifa za kitumishi na mishahara.


Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 December 10, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA November 25, 2019
  • TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 02, 2019
  • KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2019
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Rais Magufuli Aongea na Wananchi wa Kongwa

    July 18, 2019
  • Watoto Walio chini ya Umri wa Miaka Mitano Kupata Vyeti vya Kuzaliwa Bure

    March 13, 2019
  • Wakulima Wahimizwa Kupambana na Viwavi

    January 31, 2019
  • Kongwa Yasaini Tamko la Kuhakikisha Kaya Zote Zinakuwa na Vyoo Bora Nakuvitumia

    December 07, 2018
  • Tazama Yote

Video

Usafi wa Mazingira ni Wajibu wa Kila Mtu.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Kongwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2320537

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. Haki zote zimehifadhiwa.