• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • OSBC

Mifugo na Uvuvi

UTANGULIZI: 

Idara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ni miongoni mwa Idara 13 za Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. Idara inajishughulisha na shughuli za mifugo na uvuvi ikiwa ni pamoja na kutoa tiba, chanjo, ukaguzi wa nyama katika machinjio na makaro na kutoa ushauri wa kitalamu kwa wafugaji.

WATUMISHI:

Idara ina jumla ya Watumishi 28 wa fani mbalimbali kama inavyoonekana kwenye jedwali lifuatalo:

NA
KIWANGO CHA ELIMU
IDADI
1.
Shahada ya Uzamili
4
2.
Shahada ya Kwanza
5
3.
Stashahada
14
4.
Astashahada
5
 
JUMLA
28


ENEO LA MALISHO:

Maeneo ya malisho ya mifugo ni hekta 105,000 likiwepo eneo la ranchi ya Taifa ya Mifugo (NARCO) – Kongwa  lenye ukubwa wa Ha. 37,682 na Kituo cha utafiti wa malisho ya mifugo (PRC) chenye ukubwa wa Ha. 2,243.

KAMPUNI YA RANCHI ZA TAIFA (NARCO):

Kampuni ya Ranchi za Taifa NARCO ina shamba la mifugo katika Wilaya ya Kongwa. Shamba hilo lina ukubwa wa hekta 37,682 zenye uwezo wa kufuga kwa wakati mmoja ng’ombe 14,000. Mifugo ifugwayo katika shamba hilo ni pamoja na ng’ombe aina ya Borani, Mbuzi na Kondoo aina ya Black Headed Persian. Shamba hili lilianzishwa mnamo mwaka 1947 kipindi ambacho mashamba ya Karanga yalianzishwa na kampuni ya Overseas Food Corporations ili kutoa huduma ya kutoa nyama katika mashamba ya Karanga.

KITUO CHA UTAFITI WA MIFUGO (TALIRI):

Kituo cha utafiti wa malisho ya mifugo kipo upande wa kaskazini mashariki mwa kijiji cha Mbande. Kituo hiki hujishughulisha zaidi na utafiti wa malisho kwa ajili ya mifugo lakini pia hufanya tafiti za koosafu bora za mifugo. Kituo kina eneo la ukubwa wa hekta 2,243, Kituo hiki kinafuga wanyama kama vile Mbuzi aina ya Blended na Ng’ombe chotara wa maziwa.

AINA NA IDADI YA MIFUGO ILIYOPO:

Mifugo huchukua nafasi ya pili kiuchumi baada ya kilimo. Ufugaji pia ni sehemu ya jadi ya wakazi wengi wa Wilaya ya Kongwa ambayo ina hazina kubwa ya aina mbalimbali ya mifugo kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwali lifuatalo:-

Aina ya Mifugo

Idadi ya Mifugo

Mifugo Bora

Kienyeji
Jumla
Maziwa
Nyama
Mayai
Ng’ombe

280

6,799


117,438

124,517

Mbuzi

506

52


79,235

79,793

Kondoo

685


35,977

36,662

Nguruwe



35,932

35,932

Punda



2,709

2,709

Kuku


10,362

446,054

456,416

Bata



6,382

6,382

Kanga



962

962

Mbwa



1,073

1,073

Sungura

130


120

250

Farasi




7

(Kwa mwaka 2012/2013)

Kiwango cha ongezeko la baadhi ya mifugo hii kwa mwaka ni kama ifuatavyo:-

Ng’ombe            2.9%

Mbuzi                   4%

Kondoo                4%

Nguruwe              5%    

AINA NA IDADI YA MIUNDOMBINU YA MIFUGO ILIYOPO:

Miundo mbinu ya mifugo iliyopo ni kama ifuatavyo:-

Na
Aina ya miundo mbinu

Mahitaji

Iliyopo

Pungufu

Inayofanya kazi

Isiyofanya kazi

1
Majosho

25

21

4

16

5

2
Vituo vya Maendeleo ya Mifugo

14

4

10

2

2

3
Mabirika ya maji

59

19

40

16

3

4
Vibanio

52

4

48

3

1

5
Malambo

44

14

30

8

6

6
Minada

11

9

2

4

5

7
Vituo vya ukaguzi wa mifugo

3

3

0

1

2

8
Machinjio ndogo

7

5

2

4

1

9
Makaro ya kuchinjia

14

9

5

9

0

10
Mabanda ya ngozi

18

6

12

4

2


Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 December 10, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA November 25, 2019
  • TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 02, 2019
  • KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2019
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Rais Magufuli Aongea na Wananchi wa Kongwa

    July 18, 2019
  • Watoto Walio chini ya Umri wa Miaka Mitano Kupata Vyeti vya Kuzaliwa Bure

    March 13, 2019
  • Wakulima Wahimizwa Kupambana na Viwavi

    January 31, 2019
  • Kongwa Yasaini Tamko la Kuhakikisha Kaya Zote Zinakuwa na Vyoo Bora Nakuvitumia

    December 07, 2018
  • Tazama Yote

Video

Usafi wa Mazingira ni Wajibu wa Kila Mtu.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Kongwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2320537

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. Haki zote zimehifadhiwa.