• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • OSBC

Spika Ndugai akabidhiwa Hati ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kongwa

Imewekwa: October 30th, 2020

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kongwa Dkt. Omary A. Nkullo amemkabidhi Mhe. Job Yustino Ndugai Hati ya Kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kongwa leo tarehe 30 Oktoba 2020 katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya, Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa.

Mhe. Job Yustino Ndugai ambaye pia ni Spika wa Bunge liliopita la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepita bila ya kupingwa katika uchaguzi wa Mkuu wa Mwaka 2020.

Uchaguzi ngazi ya Urais Mhe John Joseph Pombe Magufuli kupitia CCM ameshinda kwa kishindo kwa asilimia 97.3.

Katika ngazi ya Udiwani, madiwani wa Kata 5 – Kibaigwa, Kongwa, Mlali, Ng’humbi, na Sejeli ndiyo wamepita kwa uchaguzi na madiwani 17 katika wamepita bila kupingwa.

Aidha, Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kongwa amemkabidhi hati za kuchaguliwa kwa madiwani wa Kata zote 22 za Jimbo hilo la Kongwa ambapo viti vyote vya udiwani vimechukuliwa na CCM.  


Habari na Nkinde Moses 

Afisa TEHAMA

Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa.

Matangazo

  • Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021 December 17, 2020
  • Tangazo la Nafasi ya Kazi November 18, 2020
  • Mabadiliko ya Mawasiliano ya Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya October 23, 2020
  • Kuitwa Kwenye Usahili November 13, 2020
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Spika Ndugai akabidhiwa Hati ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kongwa

    October 30, 2020
  • Kituo cha Afya Ugogoni Chaanza Kutoa Huduma za Upasuaji

    August 12, 2020
  • DC Kongwa Awataka Viongozi Kuacha Kuchochea Migogoro

    August 12, 2020
  • Rais Magufuli Aongea na Wananchi wa Kongwa

    July 18, 2019
  • Tazama Yote

Video

MHE. JOB Y NDUGAI AIBUKA KIDEDEA KWA MARA NYINGINE TENA | BILA KUPINGWA | CCM | KONGWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2020 Kongwa District Council . All rights reserved.