• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Maendeleo ya Jamii

1.UTANGULIZI 

Idara ya maendeleo ya jamii ni Sekta mtambuka na ni miongoni mwa idara kumi na tatu (13) zinazounda Halmashauri ya wilaya ya Kongwa . Idara inatekeleza majukumu yake kulingana na Miongozo na Sera mbalimbali zinazotolewa na Serikali kwa kuzingatia dira na mwelekeo wa kitaifa na dira ya Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. Pamoja na majukumu hayo Katika kufanikisha na kurahisisha utekelezaji wa shughuli mbalimbali jukumu kubwa la idara ni uhamasishaji ili kufikiwa kwa shabaha za Sera ya Maendeleo ya Jamii ambazo ni zifuatazo:

  • Kuuwezesha Umma wa Watanzania kujiletea Maendeleo yake wenyewe kwa kufanya kazi za uzalishaji kwa bidii, Maarifa na kwa nidhamu ya hali ya ili wawe na Kipato kikubwa kitakachowezesha jamii iwe na maisha bora kwa njia ya Kujitegemea kwa kutumia Rasiimali tulizonazo.Ni njia hii tu Umaskini Utaweza kutokomezwa hapa nchini.
  • Kuwawezesha Watanzania walio na Mali kuzitumia katika Mambo yanayoleta Maendeleo.
  • Kuwawezesha Watanzania walio wengi kuingia katika mfumo wa biashara kwa kubadilishana mali walizonazo kwa kutumia fedha na kutumia fedha hizo kulipia manunuzi ya bidhaa na Utumiaji wa huduma ili kuboresha maisha yao.
  • Kuwawezesha Watanzania kuingia katika mfumo wa Bajeti na kutumia mapato yao kwa uangalifu na kujenga tabia ya kuweka akiba Benki.
  • Kuwawezesha Watanzania kuungana katika vikundi na kujenga ari ya kujiongezea maendeleo.

Katika kufanikisha mambo hayo yote idara inafanya kazi kwa kutumia vitengo sita kama vifuatavyo:-

1: Kitengo cha utafiti na mipango

  • Kuendesha na kuwezesha zoezi la mbinu shirikishijamii
  • Kuwezesha wanavikundi kuandika mihutasari,katiba, na michanganuo ya miradi
  • Kusimamia utekelezaji wa mipango, utafiti,mafunzo na takwimu kwa ajili ya shughuli za maendeleo
  • Kuhamasisha na kushirikiana na uongozi wa vijiji katika kuandaa mipango ya maendelo ya miradi ya kujitegemea
  • Kubuni mbinu za kukusanya takwimu,kuchambua,tafsiri na kuzitumia kwa shughuli za maendleo vijijini
  • Kumshari mkuu wa idara katika masuala yote yayohusiana na miradi ya ujenzi na ufundi.


2: Kitengo cha Kikosi cha ufundi na ujenzi vijijini

  • Kusimamia miradi yote ujenzi inayohusisha nguvu za jamii (zahanati,madarasa, nyumba za walimu na waganga,ofisi za vijiji n.k.)
  • Uundaji wa vikosi vya ujenzi na ufundi vijijini (village building brigades).
  • Kutoa mafunzo ya matumizi ya tekinolojia sahihi na rahisi kwa vikosi vya ujenzi na ufundi vijijini.
  • Kuiwesha jamii (vikosi ) ujenzi wa nyumba bora za gharama nafuu
  • Kumshauri mkuu wa idara katika masuala yote yayohusiana na miradi ya ujenzi na ufundi
  • Kubaini na kusaidia vikundi vya ufundi kuhusiania  na tekinolojia za ufundi na ujenzi.

3: Kitengo cha Jinsia  na watoto

  • Kuhakikisha kila idara za kisekta zinazingatia katika mipango yao hoja za jinsia kwa mujibu wa mpango mkakati wa maendeleo ya kijinsia
  • Kuratibu taarifa za utekelezaji za watumishi ngazi ya kata kuhusu dhana ya jinsia
  • Kutoa mafunzo ngazi ya kata na WDC kuhusu uzingatiaji wa maswala ya ya kijinsia katika kuweka vipaumbele ,upangaji,utekelezaji na tathimini.
  • Kutekeleza dhana ya jinsia
  • Kutoa mafunzo ya jinsi kwa vikundi vinavyotoa huduma na vikundi vya uzalishaji mali.
  • Kutoa na kuratibu mikopo inayotolewa na Halmashauri  kwa miradi  iliyoibuliwa na kuendeshwa na wanawake
  • Kumshauri mkuu wa idara katika masuala yote yayohusiana na Jinsia wanawake na watoto.

Soma zaidi

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.