• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

DC KONGWA "UFUGAJI NYUKI UENDANE NA UTUNZAJI MAZINGIRA"

Imewekwa: December 22nd, 2025

UFUGAJI NYUKI UENDANE NA UTUNZAJI MAZINGIRA

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari - Kongwa DC

Wito umetolewa kwa walina asali kuhakikisha wanatunza mazingira kwa kutokata miti na kupanda miti inayozalisha maua kwa wingi ili nyuki waweze kuzalisha asali ya kutosha na yenye ubora.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka alipokuwa akikabidhi Mizinga, vifaa vya kuchakata asali na mashine za kubangua karanga kwa wanufaika wa Kata ya Ugogoni vifaa vilivyotolewa na shirika linaloshughulikia nishati endelevu, mazingira na mabadiliko ya tabia ya Nchi la (Foundation for Energy, Climate and Environment) FECE.

Mhe. Mayeka amesema kuwa ili nyuki atengeneze asali anatakiwa azunguke kwenye miti mingi inayotoa maua na maji ya kutosha hivyo walina asali wahakikishe mazingira yanakuwa salama ili kufanikisha shughuli zao.

Mhe. Mayeka mefafanua kuwa nyuki ni utajiri mkubwa hivyo vifaa vilivyokabidhiwa ni mtaji wa kuhakikisha unabadili maisha ya wananchi kukuza uchumi wa familia na taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake mratibu wa shirika la FECE Ndg. Juma Selemani ameeleza kuwa vifaa vyenye thamani ya Tsh. Milioni 37 vikiwemo mashine za kuchujia asali 3, mashine za kukamulia asali 3, mashine za kubangua karanga 2 na mizinga 120 vimegawiwa kwa vikundi 10 vya Kata ya Ugogoni kwa lengo la kukuza ufugaji nyuki, kukuza vipato vya wananchi na kuchochea mabadiliko ya tabia ya Nchi.

Aidha Bw. Selemani amesema kuwa shirika litaendelea kuongeza mizinga kwa wanufaika, kuimarisha mafunzo kwa vitendo ya matumizi bora ya uchakataji asali, kuimarisha ufuatiliaji na huduma za ugani, kuimarisha uhifadhi wa mazingira na kuitangaza asali ya Wilaya ya Kongwa.

Vilevile Bw. Selemani amefafanua kuwa shirika limefanikiwa kuongeza uzalishaji wa asali kutoka 40% mwaka 2022 hadi 85% mwaka 2024, kuimarika kwa uwezo wa vikundi kusimamia ufugaji nyuki na wanufaika kuongeza mizinga kwa gharama zao wenyewe ikiwa ni ishara ya uendelevu wa mradi.

Nae Afisa Mazingira Bi. Rukia Kwangaya amesema kuwa mizinga ya nyuki ya kisasa itasaidia kulina asali nyingi na nyuki watasaidia kusambaza mbegu na kuzalisha miti mingine mingi zaidi.

Akiongea kwa niaba ya wananchi wake Diwani wa Kata ya Ugogoni Mhe. Elisha Kuta ameshukuru shirika la FECE kwa kutoa vifaa hivyo na kuwataka wananchi kufanyia kazi vifaa hivyo ili kuwaletea maendeleo

Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI -JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA - JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA JIMBO LA KONGWA October 14, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MIL 75 KUNUFAISHA KIKUNDI CHA VIJANA WAZALENDO KONGWA

    February 16, 2026
  • DUWASA WAPANDA MITI ENEO LA CHANZO CHA MAJI KIBAIGWA

    January 29, 2026
  • TUWAFATILIE WANAFUNZI WANAOTAKIWA KURIPOTI KIDATO CHA KWANZA

    January 29, 2026
  • MFUKO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE WAANZA KUTUMIKA

    January 26, 2026
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Slot Gacor
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • KOI200
  • situs toto
  • koi200
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • toto slot
  • dora77
  • toto slot
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77