• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Halmashauri ya Kongwa yajipanga kudhibiti utoro wa wanafunzi

Imewekwa: September 8th, 2022

Na Stephen Jackson, Kongwa.

Viongozi wilayani Kongwa wamejipanga kikamilifu kudhibiti tabia ya utoro wa wanafunzi iliyoanza kukithiri kwa siku za karibuni.

Hayo yamebainika katika kikao kazi cha kupokea na kujadili taarifa za kata Septemba 8, 2022 ambapo suala la kukithiri kwa utoro shuleni lilijadiliwa.

Kufuatia mjadala huo wajumbe mbali mbali wa kikao hicho chini ya Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. White Zuberi Mwanzalila na katibu wake Dkt. Omary Nkullo walilazimika kubuni mikakati itakayosaidia kuondokana na tatizo hilo la wanafunzi kuacha shule.

Akichambua hali ya mahudhurio ilivyo katika shule mbalimbali za msingi wilayani Kongwa, Dkt. Nkullo alitaja kuwa katika kipindi cha miezi mitatu, wanafunzi wapatao 3703 wanadaiwa kuacha shule, Jambo ambalo lilishtua hisia za wajumbe wa kikao hicho.

Aidha miongoni  mwa mambo yaliyotajwa kuwa chimbuko la tatizo hilo ni pamoja na Jamii kutotambua umuhimu wa elimu, ushirikiano hafifu wa wazazi na Walimu, na Ajira za watoto.

Kwa upande wake Afisa Elimu msingi ndugu Eugine Shirima, licha ya kupinga vikali suala la utoro, pia amesisitiza ushirikiano kuimarishwa ili kupambana kikamilifu na tatizo la utoro.

Kuelekea hitimisho la mjadala, Halmashauri imeanzisha Oparesheni Maalumu inayojulikana kama "futa utoro"  ambapo jamii nzima kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi mbalimbali watahakikisha wanafunzi wote walioacha shule wanarejeshwa.

Wakati huo huo, Halmashauri imetenga kiasi cha  Tsh. milioni kumi kwaajili ya gharama za kuendesha makambi Maalumu kwa wanafunzi wa kidato cha nne wapatao 666 waliopata alama sifuri kwenye mtihani wa majaribio (Mock)

Uamuzi wa kutumia Fedha hizo umelenga kuwapunguzia gharama wazazi, kwa kutekeleza sera ya elimu bure kwa vitendo.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kazini September 30, 2023
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA November 02, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba, 2023 November 23, 2023
  • Fomu ya Maelekezo ya kujiunga na shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaigwa. May 18, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Elimu ya Rushwa yawakuna Wauguzi, matabibu waiomba TAKUKURU kuwatembelea mara kwa mara.

    November 24, 2023
  • Kamati ya Fedha yasisitiza matumizi mazuri ya fedha

    November 23, 2023
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Dodoma, yapongeza Utekelezaji wa Miradi.

    November 14, 2023
  • Utitiri wa vyombo vya watumia maji, Watajwa kuzorotesha jitihada za Serikali huduma bora za maji vijijini

    November 03, 2023
  • Tazama Yote

Video

Viongozi Kongwa Wajivunia hati safi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.