• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

JWTZ KUCHANGIA MIL. 200 UJENZI SHULE YA SEKONDARI WILAYANI KONGWA

Imewekwa: January 14th, 2026

JWTZ KUCHANGIA MIL 200 UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI WILAYANI KONGWA

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari - Kongwa DC

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limeahidi kuchangia Shilingi Milioni 200 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Jacob Mkunda itakayojengwa katika Kijiji cha Machenje Kata ya Ugogoni Wilayani Kongwa.

Akiongea katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi na kukagua eneo la ujenzi wa Shule hiyo mapema Januari 14, 2026 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuwa anamshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kipaumbele katika huduma za kijamii hususani elimu kwa kujenga Shule mpya na kuzifanyia ukarabati shule kongwe.

Jenerali Mkunda amefafanua kuwa Wananchi wa Tanzania ndiyo wamiliki halali wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania hivyo Wananchi wanapopata elimu bora ndipo wanapoifahamu Nchi yao vizuri na kuilinda kwa nguvu zote kwani wanajielewa wao wenyewe na kutambua maadui wa Nchi yao yaani ujinga, umasikini na maradhi.

“ni rahisi kwa Jeshi kulilinda Taifa lililoelimika kuliko Taifa lililogubikwa na ujinga kwahiyo Jeshi kushiriki kuboresha Elimu katika Nchi yetu ni kuimarisha ulinzi wa Taifa kupitia elimu maana elimu ni Ulinzi” alisema Mkunda.

Aidha Jenerali Mkunda amewapongeza wazazi kwa wazo zuri la hekima la kujenga shule hiyo itakayowezesha watoto wao kupata elimu ambayo wao hawakuipata na kwamba kazi ya Jeshi ni ulinzi lakini pia linashiriki katika masuala mbalimbali ya kijamii ili kuwapatia wananchi maendeleo kama elimu ili wananchi waweze kijipigania dhidi ya adui ujinga.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka ameeleza kuwa Wilaya ya Kongwa imeendelea kufanya vizuri katika Sekta ya Elimu kwani tangu Mwaka 2024 imeendelea kushika nafasi ya pili kimkoa Dodoma katika matokeo ya Darasa la 7 na nafasi ya kwanza katika matokeo ya Darasa la 4, ambapo kwa miaka mitano ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wamefanikiwa kujenga Shule za sekondari 13 na kufanya Wilaya kuwa na jumla ya shule za Sekondari za Serikali 39.

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Mhe. White Zuberi ameongeza kuwa Kongwa ina historia kubwa sana ya kijeshi, kituo cha kwanza cha mafunzo ya kijeshi ya wapigania uhuru wa Nchi za kusini mwa Afrika kilikuwa Kongwa, kulikuwa na ulinzi wa kutosha, hivyo wananchi wanamshukuru Mhe. Rais kwa kurudisha kikosi cha Jeshi la ulinzi la Wananchi Kongwa ambapo manufaa ya Jeshi waliyoyatarajia kwa muda mrefu wameanza kuyaona kwa kujengewa Shule hiyo ya Sekondari.

Ikumbukwe kuwa ujenzi wa shule hiyo ya Sekondari ya Jacob Mkunda utasaidia zaidi wanafunzi wanaotoka Kijiji cha Machenje Kata ya Ugogoni kwenda kupata elimu katika Shule ya Sekondari ya White Zuberi iliyoko katika Kata ya Kongwa ambapo hutembea umbali wa Kilomita 8 kwenda na kurudi kila siku.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI -JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA - JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA JIMBO LA KONGWA October 14, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MFUKO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE WAANZA KUTUMIKA

    January 26, 2026
  • WAFANYAKAZI WILAYA YA KONGWA WAMSHUKURU MHE. RAIS SAMIA ONGEZEKO LA MISHAHARA

    January 21, 2026
  • SERIKALI YATOA MWONGOZO KWA WATUMISHI WANAOJITOLEA

    January 20, 2026
  • JWTZ KUCHANGIA MIL. 200 UJENZI SHULE YA SEKONDARI WILAYANI KONGWA

    January 14, 2026
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Slot Gacor
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • KOI200
  • situs toto
  • koi200
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto