Imewekwa: January 24th, 2025
Wananchi katika Kijiji Cha Chamae kilichopo Kata ya Hogoro wilayani Kongwa wameiomba Serikali kubomoa tenki la maji ambalo limechakaa sana linaloweza kuleta athari kwa jamii.
Wananchi hao wameeleza...
Imewekwa: January 22nd, 2025
Kufuatia mgogoro wa eneo la malisho ulipo baina ya wakulima na wafugaji wa vijiji vya Manyusi na Chitego vilivyopo Kata ya Chitego wilayani Kongwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mheshimiwa Mayeka Simon Maye...
Imewekwa: January 20th, 2025
Wanafunzi 119 wenye mahitaji maalum waliopo katika kituo kilichopo Shule ya Msingi Mkoka wilayani Kongwa mkoani Dodoma wanakabiliwa na ukosefu wa vitimwendo.
Hayo yamesemwa na Bwana Furaha Mwas...