• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • OSBC

Uchaguzi

1: Utangulizi:

Kitengo cha Uchaguzi ni miongoni mwa vitengo 6 vya Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa vilivyoanzishwa kwa mujibu wa Muundo wa Halmashauri wa mwaka 2012.

Kitengo hiki kilianzishwa mahususi kwa ajli ya kusimamia na kuratibu shughuli zote za uchaguzi Mkuu na Chaguzi ndogo za Urais, ubunge na Udiwani kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi, Kanuni za Uchaguzi na Maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika ngazi ya Halmashauri. 

Pia kitengo hiki kinawajibika kusimamia na kuratibu shughuli za Uchaguzi Mkuu na Chaguzi ndogo za Serikali za Mitaa kwa Mujibu wa Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Kanuni za Uchaguzi na Maelekezo ya Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa.

2: Dira:

Dira ya Kitengo hiki ni Kuwa kitengo madhubuti kitakacho weza kuchangia katika kuleta maendeleo ya wananchi kwa kujenga Halmashauri inayozingatia Utawala bora uliojengwa katika misingi ya Uchaguzi Huru, wa Haki na wa Mara kwa mara (Free, Fair and Frequent elections) kufikia 2025 .

3: Dhima:

Dhima ya kitengo hiki ni kuhakikisha kuwa Sheria na Kanuni za Uchaguzi zinasimamiwa ipasavyo kwa lengo la kuwawezesha Wananchi wote wenye sifa katika Halmashauri kupata fursa ya kushiriki kikamilifu katika kuwachagua viongozi wao kupitia uchaguzi ulio huru na wa haki.

4: Majukumu ya Msingi:

  • Kusimamia na kuratibu zoezi la Mgawanyo wa Maeneo ya utawala (Vitongoji, Vijiji na Kata) katika mipaka ya Halmashauri
  • Kusimamia na Kuratibu zoezi la kuandaa orodha ya Wapiga kura wenye sifa katika Halmashauri
  • Kusimamia na kuratibu uteuzi wa wagombea wenye sifa na kampeni za Uchaguzi
  • Kusimamia na kuratibu zoezi la upigaji kura

5: Mafanikio:

Toka kuanzishwa kwake kitengo hiki kimeweza kupata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa shughuli za Uchaguzi. Mafanikio hayo ni Pamoja na:

  1. Kusimamia kwa ufanisi Uchaguzi Mkuu wa Rais, Ubunge na Madiwani wa  mwaka 2015.
  2. Kusimamia kwa ufanisi zoezi kuandaa Daftari la kudumu la Wapiga kura kwa kutumia Mfumo wa BVR mwaka 2015 ambapo wananchi wote wenye sifa katika Halmashauri waliandikishwa
  3. Kusimamia kwa ufanisi Uchaguzi Mkuu wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2014.

Matangazo

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2018. January 24, 2019
  • Tangazo la Nafasi ya Kazi January 16, 2019
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2019 Mkoa wa Dodoma Shule za Kutwa December 20, 2018
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2019 Mkoa wa Dodoma Shule za Bweni December 20, 2018
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Wakulima Wahimizwa Kupambana na Viwavi

    January 31, 2019
  • Kongwa Yasaini Tamko la Kuhakikisha Kaya Zote Zinakuwa na Vyoo Bora Nakuvitumia

    December 07, 2018
  • Kampeni ya Usichukulie Poa Nyumba Ni Choo Kuanza Wilayani Kongwa

    November 29, 2018
  • Benki ya NBC Yatoa Msaada wa Viti 80 na Kompyuta 15 kwa Halmashauri ya Kongwa

    November 14, 2018
  • Tazama Yote

Video

Usafi wa Mazingira ni Wajibu wa Kila Mtu.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Kongwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2320537

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. Haki zote zimehifadhiwa.