• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Historia ya Kongwa

Utangulizi:

Halmashauriya Wilaya ya Kongwa ni miongoni mwa wilaya saba (7) za mkoa wa Dodoma, ilianzishwa mwaka1996 chini ya sheria  ya Serikali za Mitaa ya mwaka 1982 kifungu Na. 8 naNa. 9. Wilaya ina ukubwa wa eneo la kilometa za mraba 4,041 ambapo eneo linalofaa kwa kilimo naufugaji ni hekta 363,690.Wilaya ina Tarafa 3 za Kongwa, Mlali na Zoissa, Kata 22, Vijiji 87,Vitongoji 383 naMamlaka za miji midogo miwili ya Kongwa na Kibaigwa. Wilaya imepakana na Wilayaya Chamwino upande wa Magharibi; Wilaya ya Gairo (Mkoa wa Morogoro), upande waMashariki; Wilaya ya Mpwapwa upande wa Kusini na kwa upande wa Kaskazini kuna Wilaya ya Kiteto (Mkoa wa Manyara).

Kwa mujibu wasensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 Wilayaina ongezeko la watu laasilimia 2.4; Hivyokwa mwaka 2015 wilayaya Kongwa inakadiriwa kuwa na jumla ya  watu 332,831 ambapowanaume ni 160,225 na wanawake ni 172,606. Aidha,Idadi ya kaya zilizopo kwa sasa ni 61,994. Kaya zinazojihusisha na shughuli za kilimo pamoja na ufugaji ni 55,573 sawa na  90%. 

Wenyeji wa Wilaya hii ni Wagogo, Wakaguru, na Warangi. Pia kuna makabila mengine ambayo yalihamia toka sehemu mbambali za Tanzania kama vile Wabena, Wanguu, Wakamba na Wamasai ambao walikuja kwa ajili ya shughuli za kilimo na mifugo.

Shughuli kuu za kiuchumu zinazofanywa na wakazi wa Wilaya ya Kongwa ni ufugaji wanyama (ng’ombe, mbuzi, kondoo, na punda). Punda hutumika zaidi katika usafirishaji wa mazao. Pia shughuli za kilimo cha mazao ya chakula na biashara mfano mahindi, mtama, uwele, karanga na alizeti.

Kujulikana kwa Kongwa:

Wilaya ya Kongwa lianza kujulikana katika ramani ya Dunia mwaka 1913 ambapo Shirika la Kidini kutoka Canada ambalo lilijulikana kama Church Missionary Society walipoanza ujenzi wa Chuo cha Ualimu na Theolojia mwaka 1909 katika kijiji cha Mlanga. Lakini kutokana na Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, ujenzi huo ulichukua muda mrefu hivyo kukamilika mwaka 1927. Vifaa vilivyotumika katika kujengea Chuo hicho ni mawe na chokaa iliyochomwa.

Chuo kilifundisha taaluma ya Uchungaji (Theolojia), Ualimu na Uuguzi. Wanafunzi waliosoma katika Chuo hicho walitoka sehemu mbalimbali za Tanganyika na Kenya. Miongoni mwa wanafunzi wa kwanza waliosoma katika Chuo hicho ni Mzee Musa Fungo na Yohana Malecela.

Jengo la Chuo cha Theolojia cha Mtakatifu Filipo kilichojengwa mwaka 1927 – Mlanga Kongwa

Wakati wa vita ya Wakoloni baina ya Waingereza na Wajerumani mwaka 1914 – 1918, wanafunzi 12 walisoma katika Chuo hicho walikamatwa na Wajerumani na kupelekwa Zanzibar kuhifadhiwa na vita ilipoisha walirudishwa. Wakazi wengi walioishi katika eneo la Mlanga, wengi wao ni wahamiaji toka sehemu za Berege (Morogoro), Tanga na Iringa na Kiongozi wao kwa kipindi hicho alikuwa anaitwa Chifu Mahinyila. Katika eneo la Mlanga karibu na mlima kuna alama za miguu ya Farasi ambao walipitishwa katika njia hiyo na Wakoloni wakati wa vita.

Soma zaidi


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.