• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

TRA KONGWA WAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Imewekwa: October 9th, 2025

TRA KONGWA WAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Na Bernadetha mwakilabi

Habari – Kongwa DC

Ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania Wilaya ya Kongwa imeadhimisha wiki ya huduma bora kwa mlipa kodi.

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Wilaya ya Kongwa Bi. Sophia Boma wakati akiongea katika maadhimisho hayo Ofisini kwake mwishoni mwa juma lililopita amesema wanatakiwa kuwa na huduma bora ili wananchi walipe kodi kwa hiari kwani huduma bora kwa mlipa kodi ndiyo nguzo ya Maendeleo.

Bi. Boma ametumia nafasi hiyo kuwashukuru walipa kodi wote wa Wilaya ya Kongwa wakiwemo Wafanyabiashara, Wafanyakazi na Wananchi wote kwa ujumla kwa kusema kuwa ofisi inatambua mchango wao mkubwa wa kulipa kodi.

Meneja Mapato Wilaya ya Kongwa Bi. Sophia Boma akiongea ofisini kwake.

Aidha Bi. Boma amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira rafiki ya ufanyaji kazi, amemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka kwa mashauri mazuri ya usimamizi wa kodi, amemshukuru meneja wa mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoa wa Dodoma na Kamishna Mkuu kwa usimamizi madhubuti na uongozi imara. 


Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka akilishwa keki na meneja TRA Kongwa.

Nae Bw. Hosea Machako Mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi Kata ya Kongwa amepongeza Ofisi ya Mapato Wilaya ya Kongwa kwa kuwaweka karibu kuwafanya rafiki na kuweka mazingira mazuri ya ulipaji kodi kwa hiari.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili September 02, 2025
  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DED KONGWA AZINDUA DARASA JANJA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KIBAIGWA

    October 09, 2025
  • TRA KONGWA WAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

    October 09, 2025
  • DC KONGWA AKAGUA MIRADI YA ELIMU KATA YA LENJULU

    October 08, 2025
  • MAAFISA KILIMO WAMEAGIZWA KUWASAJILI WAKULIMA ILI WAWEZE KUPATA MBEGU ZA RUZUKU

    October 08, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.