• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika

UTANGULIZI:

Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika ni Sekta mtambuka na ni miongoni mwa idara kumi na tatu (13) zinazounda Halmashauri ya wilaya ya Kongwa. Idara inatekeleza majukumu yake kulingana na Miongozo na Sera mbalimbali zinazotolewa na Serikali kwa kuzingatia dira na mwelekeo wa kitaifa na dira ya Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa.. 

HALI YA HEWA:
Zaidi ya asilimia 90 ya eneo la Wilaya la hekta 404,100 linafaa kwa kilimo na Ufugaji, shughuli ambazo ni msingi mkubvwa wa uchumi wa wakazi wa Wilaya hii.kwa sasa eneo linalotumika kwa kilimo na Mifugo linakadiriwa kufikia hekta 363 , 690 na lisilofaa halitumiki ni hekta 40,410.
Aidha eneo linalofaa kwa kilimo linakadiriwa kuwa hekta 323,590. Eneo linalofaa kwa Kilimo cha Umwagiliaji Maji mashambani ni hekta 5,811 na kiwango kinachotumika ni hekta 422kwa njia ya asili. Hali ya upatikanaji wa mvua ni kati ya mm 400-800 kwa mwaka. 

Aidha kulingana na kiwango cha upatikanaji wa Mvua, Wilaya imegawanywa katika kanda mbili za uzalishaji wa Mazao ya Kilimo ambazo maeneo yannayopata Mvua zaidi ya mm 600kwa mwaka na uUkanda wa pili ni maeneo yanayopata mvua kati ya mm 400 hadi 6600 kwa mwaka. Kipindi cha Mvua ni kifupi ambacho huanza mwezi Novemba hadi Aprili kwa kanda inayopata mvua chini ya mm 600na mei kwa ukanda wenye mvua nyingi. Maeneo yalioko katika ukanda unaopata mvua chini ya mm 600 ni vijiji vilivyoko kweye tarafa ya Kongwa na kata ya Hogoro .Maeneo yaliopata Mvua zaidi ya mm 600 ni tarafa za Zoissa na Mlali. Katika Ukanda unaopata mvua kodogo mazao makuu yanayolimwa ni Mtama, Uwele, Muhogo na alizeti. Ambapo kanda iliobakia huzalisha zaidi mazao ya mahindi, alizeti na karanga.

KILIMO CHA UMWAGILIAJI:
Wilaya ya Kongwa inaeneo zuri la ardhi linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji.
Mazao yanayofaa na kulimwa katika maeneo haya Oevu ni Mbogamboga na nafaka. Hadfi sasa Wilaya ina skimu zipatazo (4) Mseta Bondeni Tubugwe juu Chamkoroma na Banyibanyi katika kata ya Hogoro. Mazao ya mbogamboga kama Kabich,i nyanya, Vitunguu , pilipili hoho , Mbuzi na viungo vingine yanapatikana kwa wingi katika skimu hizo.

ZANA ZA KILIMO:

Wilaya ya Kongwa ni kati ya Wilaya zenye Matrekta Mengi na hivyo kuleta Ufanisi Mkubwa katika Shughuli za kilimo .Kwa mwaka 2015 Idadi ya Mtrekta ni 731 na Mtrekta ya Mkono ni 43.pia kuna wanyamakazi na zana zao ni 5,032. Kwa mgawanyo auafutao Mksai 3476, Pundas 1556. Kwa sababu ya matumizi makubwa ya Matrekta, Makampuni makubwa matatu yameamua kuweka vituo vya mauzo ya Matrekta na vipuri Kongwa katika Mji wa KIBAIGWA. Makampuni hayo ni pamoja na AGRICOM, SWARAJI- VIPURI na MAHINDRA. Hali hii inawezesha upatikanaji wa zana bora na vipuri kwa maendeleo ya Kilimo katika Wilaya.

VYAMA VYA USHIRIKA:

Wilaya ya Kongwa ina Vyama vya Ushirika vilivyosajiliwa 37 ambavyo vimegawanyika katika Michepuo (7) kama ifuatavyo:

  1. Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo SACCOS
  2. Vyama vya Ushirika wa Mazao (AMCOS)
  3. Vyama vya Ushirika wa Huduma/Biashara
  4. Vyama vya Ushirika wa Wafugaji
  5. Vyama vya Ushirika wa Ufugaji Nyuki
  6. Vyama vya Ushirika wa Usindikaji- (Processing)
  7. Ushirika wa Waendesha Pikipiki.

Orodha ya Vyama vya Ushirika Wilaya ya Kongwa:

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.