• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

RC SENYAMULE AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MADARASA SHULE YA MSINGI KONGWA

Imewekwa: September 25th, 2025

RC SENYAMULE AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MADARASA SHULE YA MSINGI KONGWA

Na Bernadetha Mwakilabi

Kongwa - DC

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amefanya ziara katika Wilaya ya Kongwa na kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa mradi wa vyumba 2 vya madarasa ya Elimu ya Awali na matundu 6 ya vyoo katika Shule ya Msingi Kongwa.

Baada ya kusomewa taarifa ya maendeleo ya ujenzi huo Mh. Senyamule amemtaka fundi anayejenga majengo hayo kuhakikisha kazi haisimami wala kukwamishwa kwani majengo hayo yanatakiwa kukabidhiwa kwa wakati ili wanafunzi waanze kuyatumia kwa wakati uliopangwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akipokea taarifa ya ujenzi katika shule ya msingi kongwa.

Katika hatua nyingine Mhe. Senyamule amekagua ujenzi wa kituo kipya cha Afya Laikala ambapo hadi kukamilika kwake kitagharimu fedha Tsh milioni 250 na kitahudumia wananchi 28,536 kutoka vijiji 6 vinavyounda kata ya Sagara.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akikagua ujenzi wa kituo cha Afya Laikala.

Akiongea mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka ameeleza kuwa ujenzi wa mradi wa kituo hicho utafikisha idadi ya vituo vya Afya 10 katika Wilaya ya Kongwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka S Mayeka akiongea mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

Aidha, Mkuu wa Mkoa Mhe. Senyamule amewasisitiza wananchi kuendelea kutoa ushirikiano mpaka ujenzi utakapokamilika na kuwakumbusha kuhusu zoezi muhimu la uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani kuwa siku ya tarehe 29 Oktoba wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura ili kuchagua viongozi watakaowaletea maendeleo.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili September 02, 2025
  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • JAMII IMETAKIWA KUTAMBUA HAZI ZA MNYAMAKAZI PUNDA

    September 26, 2025
  • RC SENYAMULE AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MADARASA SHULE YA MSINGI KONGWA

    September 25, 2025
  • KITUO CHA AFYA KUJENGWA KATA YA SAGARA

    September 22, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII AJIRA MPYA WALA KIAPO

    September 19, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.