• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

KITUO CHA AFYA KUJENGWA KATA YA SAGARA

Imewekwa: September 22nd, 2025

KITUO CHA AFYA KUJENGWA KATA YA SAGARA

Mkuu wa Wialaya ya Kongwa Mh. Mayeka S Mayeka amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa kituo cha afya Sagara kilichopo Kijiji cha Laikala na kuongea na Wananchi wa Kijiji cha Ijaka.

Katika ukaguzi huo mh. Mayeka ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo hicho na ameomba ujenzi ufanyike kwa haraka na kwa wakati ili wanachi waendelee kuona juhudi za Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mh. Mayeka S Mayeka akikagua kitabu cha vifaa katika ujenzi huo.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa kituo hicho Mganga mfawidhi wa kituo hicho Bi. Maritha Lucas amesema kuwa kiasi cha shilingi Milioni 250 kimeidhinishwa kutoka Serikali kuu kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kwa ajili ya ujenzi wa kituo hicho.

Mganga Mfawidhi wa kituo hicho Bi. Meritha Lucas akisoma taarifa mbele ya Mkuu wa Wilaya.

Katika hatua nyingine Mhe. Mayeka ametumia ziara hiyo kuzungumza na Wananchi wa Kijiji cha Ijaka kilichopo ndani ya Kata ya Sagara kujua kero zao, kuwakumbusha juu ya utunzaji wa mazingira na ulinzi wa vifaa vya serikali na maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Ijaka wakiwa katika mkutano.

Akijibu changamoto ya maji inayokabili Kijiji hicho Meneja wa wakala wa Mji Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Kongwa mhandisi France Malya amesema kuwa tayari kuna ujenzi wa mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 417 wenye tanki la lita laki moja ambao upo katika hatua za mwishoni kukamilika na muda wowote huduma ya maji safi na salama itaanza kupatikana.

Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Kongwa Mhandisi France Malya akitoa taarifa katika mkutano huo.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili September 02, 2025
  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • JAMII IMETAKIWA KUTAMBUA HAZI ZA MNYAMAKAZI PUNDA

    September 26, 2025
  • RC SENYAMULE AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MADARASA SHULE YA MSINGI KONGWA

    September 25, 2025
  • KITUO CHA AFYA KUJENGWA KATA YA SAGARA

    September 22, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII AJIRA MPYA WALA KIAPO

    September 19, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.