• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Kituo cha Biashara

FALSAFA

Tunafuata njia ya kijasiriamali katika ushauri wa uongozi wa biashara;

Tunavutiwa kuwa sehemu ya mafanikio ya wateja wetu;

Tunaamini katika ushirikiano na uendelezaji wa mahusiano ya muda mrefu;

Tunahudumia kwa kujitoa kulingana na majukumu yetu.


VIPAOMBELE

UUNGWANA katika kutekeleza na kusimamia matarajio ya wateja wetu;

UAMINIFU kwa kadiri tunavyofahamau hatua sahihi na njia rasmi;

WELEDI WA SOKO tunajiweka kisasa wakati wote kuwa na taarifa muhimu;

UFUATILIAJI kutimiza mahitaji ya mteja;

KUJALI MUDA tunakuita kabla hujatuita;

UFANISI shukrani kwa ujuzi muhimu na mawasiliano katika kutoa huduma za mpango wa biashara wa haraka na unaotekelezeka.

KANUNI NA TARATIBU

1.KUSHINDWA KUTEKELEZA:

Kama hujatoa maelezo ya msingi ndani ya muda, ama hujalipa bili kwa kipindi cha malipo, tuna haki ya kuchukua hatua zaidi za kushughulikia nawe. Na tukishughulika nawe, utalipa gharama za kukufuatilia (faini)

2.MALIPO KATIKA AKAUNTI:

Mara kwa mara unaweza kuhitajika kulipia gharama zote (bili, tozo, faini, kodi, n.k.) katika akaunti sahihi ya Halmashauri katika benki ya NMB. Malipo nje ya akaunti ya Halmashauri, hatutahusika na taratibu za kurejesha katika himaya yako, hivyo zingatia maelekezo na kunakili jina na akaunti za malipo za Halmashauri kwa usahihi.

3.BILI:

Bili zote zinatolewa na mfumo na kwa utaratibu wa sheria na kanuni za Halmashauri ya Kongwa na Serikali Kuu. Kushindwa kulipa ndani ya muda utalazimika kulipa fedha zaidi (faini);

 Tuna haki ya kukata fedha zilizoshikiliwa nasi katika akaunti yako, gharama sawa na fedha zisizolipwa kama tozo n.k.

4.HAKI ZAKO:

Wakati wowote, kama una hoja au swali kuhusu kipengele chochote kwa huduma zetu, tafadhali, usisite kuwasiliana nasi.

5.MAELEKEZO YA BAADAYE:

Masharti haya ya utoaji huduma yatahusika kwa huduma zozote zitolewazo na Halmashauri ya Kongwa kuhusiana na tozo mbalimbali, isipokuwa kumekuwa ya pamoja.


“Kituo cha Biashara Kongwa, Tunatoa Matokeo”


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.