• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

KONGWA YATOA ZAIDI YA MILIONI 216 MIKOPO 10% AWAMU YA KWANZA 2025/2026

Imewekwa: October 23rd, 2025

KONGWA YATOA ZAIDI YA MILIONI 216 MIKOPO 10% AWAMU YA KWANZA 2025/2026 

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari – Kongwa DC

Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa imetoa Tsh milioni 216,882,588 mikopo ya 10% awamu ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kwa vikundi 19 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Akizungumza wakati wa kukabidhi hundi ya fedha hizo mgeni rasmi wa hafla hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka amewataka wana vikundi kuwa na nidhamu ya fedha hizo ili waweze kurejesha vizuri na kwa wakati.

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka S Mayeka akikabidhiwa hundi na maafisa maendeleo ya jamii ili awakabidhi wana vikundi.

Vilevile Mhe. Mayeka ametoa ushauri kwa vikundi vinvyofanya shughuli za ufugaji kuungana kupata visima vya maji vitakavyowasaidia kupata maji mengi kwaajili ya kunyweshea mifugo na kutengeneza majosho ya kuogesheas mifugo na kufuga kisasa Zaidi.

Pia Mhe. Mayeka amewataka wakulima kuacha kutegemea mvua za msimu badala yake watumie fedha hizo za mikopo kufanya kilimo cha kisasa cha umwagiliaji ili kukuza uchumi.

Katika hatua hiyo nae Katibu Tawala Wilaya ya Kongwa Bi. Sozi Ngate amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina nia njema ya kutoa mikopo hiyo hivyo ni vyema wana vikundi kuhakikisha wanafanya marejesho ya mikopo hiyo kwa wakati ili wananchi wengine waweze kupata fedha hizo.

Katibu Tawala Wilaya ya Kongwa Bi. Sozi Ngate akiongea katika hafla hiyo.

Akiongea kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, mkaguzi wa ndani Bw. Jacob Mngusi ametoa wito kwa wana vikundi kutumia vema fedha hizo ili ziendelee kutoa matunda katika shughuli zao za kiuchumi.

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Bw. Jacob Mngusi akiongea wakati wa hafla hiyo

Akifafanua taarifa ya mikopo Afisa Maendeleo ya Jamii Bw. Joseph Mshana amesema kuwa katika kipindi cha robo ya kwanza inayoanzia julai hadi septemba vikundi 150 viliwasilisha maombi ya kutaka mkopo wa tsh milioni 19.7 lakini baada ya mchakato wa upembuzi ni vikundi 19 vilipata sifa za kukopeshwa.

Aidha Bw. Mshana amefafanua kuwa tayari vikundi hivyo vimepatiwa mkopo huo na kupatiwa mafunzo ya awali ya utekelezaji shughuli zao za kuchumi zikiwemo kilimo ufugaji, usafirishaji (bodaboda), maduka ya nguo na maduka ya dawa.

Afisa Maendeleo ya Jamii Bw. Joseph Mshana akisoma taarifa ya mikopo.

Akiongea kwa niaba ya wanavikundi wenzake Bi. Janeth Chitongo kutoka Kata ya Sagara kikundi cha Tazama anasema anaishukuru Serikali kwa mikopo inayotoa na kuwapatia Maafisa Maendeleo ya Jamii wanaokuwa msaada mkubwa katika kusimamia mikopo na kuwashauri kuhusu biashara zao.

Baadhi ya wana vikundi wakipokea hundi hiyo kutoka kwa Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Kongwa

Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI -JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA - JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA JIMBO LA KONGWA October 14, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DC KONGWA AZINDUA JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI NGAZI YA WILAYA

    October 24, 2025
  • KONGWA YATOA ZAIDI YA MILIONI 216 MIKOPO 10% AWAMU YA KWANZA 2025/2026

    October 23, 2025
  • DC KONGWA ASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA

    October 14, 2025
  • DED KONGWA AZINDUA DARASA JANJA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KIBAIGWA

    October 09, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.