• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

BARAZA LA MADIWANI KONGWA WAKUTANA KUHITIMISHA MIKUTANO.

Imewekwa: July 3rd, 2025

Waheshimiwa madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa wamekaa kikao chao cha mwisho cha kuairisha mkutano Tarehe 19 Juni 2025 kikiwa na ajenda muhimu ya kupitisha sheria ndogo za Halmashauri kutokana na sheria zilizopo kuwa za muda mrefu na kupitwa na wakati.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa kipindi cha miaka mitano mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Dkt. Omary Nkullo amesema kuwa katika kipindi hicho Halmashauri imefanikiwa kutekeleza miradi ya maendeleo 362 katika sekta zote yenye thamani ya zaidi ya shilingi za kitanzania bilioni 95 ambazo ni fedha kutoka kwa wananchi, wahisani, Halmashauri na Serikali kuu. 

Aidha Dkt Omary Nkullo ametumia mkutano huo kutoa mgawanyo wa walezi wa Kata kwa wakuu wa Divisheni na vitengo ambao watasimamia Kata hizo baada ya baraza la madiwani kuahirishwa.

Nae Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Mhe. Richard Mwite akiongea kwa niaba ya Waheshimiwa madiwani amepongeza na kushukuru ofisi ya mkuu wa Wilaya, mkurugenzi Mtendaji na wataalam kwa ushirikiano na umoja waliouonyesha kwa Waheshimiwa madiwani kwa kipindi cha miaka mitano na kuhakikisha Halmashauri inasonga mbele.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka amesema suala la ulinzi na usalama ni muhimu katika kipindi cha kampeni na amewataka wagombea kujiepusha na masuala ya rushwa katika kipindi cha kampeni na uchaguzi ili kusiwe na dosari katika uchaguzi.

Licha ya kuunga mkono hoja ya utungwaji wa sheria ndogo lakini pia Mhe. Mayeka amekemea vikali tabia ya kuwepo na wizi na upotevu wa Rasilimali katika kipindi cha utekelezaji wa miradi na kuwataka wataalam waliopewa dhamana ya kusimamia Kata kusimamia vizuri Miradi kipindi chote.

Akiongea katika mkutano huo Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya Kongwa Bi Hella Mlimanazi amefafanua kuwa zoezi la kutunga sheria ndogo ni matakwa ya kisheria kutokana na changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika Halmashauri zikiwemo kukosekana mpango madhubuti wa usimamizi, uwepo wa mmomonyoko mkubwa wa ardhi mashambani, hasara inayotokana na mafuriko, migogogoro kati ya wakulima na wafugaji na uharibifu wa miundombinu mashambani, Uhaba wa malisho na maeneo ya kuchunga mifugo pamoja na changamoto nyingine.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Mhe. Richard Mwite akiongea kwa niaba ya Waheshimiwa madiwani amepongeza na kushukuru ofisi ya mkuu wa Wilaya, mkurugenzi Mtendaji na wataalam kwa ushirikiano na umoja waliouonyesha kwa Waheshimiwa madiwani kwa kipindi cha miaka mitano na kuhakikisha Halmashauri inasonga mbele.

Katika kipindi cha miaka mitano, Halmashauri imefanikiwa kutekeleza miradi ya maendeleo 362 katika sekta zote yenye thamani ya zaidi ya shilingi za kitanzania bilioni 95 ambazo ni fedha kutoka kwa wananchi, wahisani, Halmashauri na Serikali kuu ambapo kila Diwani ameshiriki kufikisha hoja za mahitaji ya Kata yake ili kusudi miradi mbalimbali ya maendeleo ifanyike katika Kata husika.

Ikumbukwe, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka ametoa rai kuhusu suala la ulinzi na usalama na kueleza umuhimu wake katika kipindi cha kampeni na amewataka wagombea kujiepusha na masuala ya rushwa katika kipindi cha kampeni na uchaguzi ili kusiwe na dosari yoyote.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • ECOKAZI WATOA MAFUNZO KUHUSU BIASHARA YA KABONI

    July 24, 2025
  • WASIMAMIZI WA AFYA WANOLEWA UDHIBITI NA UTENGANISHAJI TAZIHA.

    July 23, 2025
  • MWENYEKITI KIJIJI CHA MLANJE ARUDISHWA MADARAKANI.

    July 21, 2025
  • DED KONGWA APONGWEZWA UTOAJI MIKOPO 10%.

    July 18, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.