• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Baraza la Wafanyakazi Kongwa laishauri Idara ya Utumishi kuhusu Usimamizi wa Maslahi ya Wafanyakazi

Imewekwa: January 18th, 2022

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Wilaya ya Kongwa wameishauri Idara ya Utawala na Utumishi Kuzingatia usawa katika kusimamia Maslahi ya Watumishi.

Ushauri huo umetolewa kwenye kikao cha baraza la wafanyakazi kilichofanyika tarehe 17 Januari 2022, Kilichoketi kupokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango na Bajeti juu ya Stahiki za watumishi kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 na kupitia Rasimu ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Akiwasilisha taarifa ya Idara ya Utawala na Utumishi, Afisa utumishi Evodius Rugeiyamu alibainisha kuwa Idara hiyo imetenga Jumla ya Tshs. 3,000,000/= (Milioni tatu) kwa ajili.ya motisha kwa wafanyakazi watakaobainika kwa Utendaji mzuri katika sikukuu ya Wafanyakazi (Mei Mosi) kwa Mwaka wa fedha 2022/2023.

Akichangia hoja kuhusu Maslahi ya Wafanyakazi, Kaimu Katibu wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Dodoma Bwana Andrea Nyemba ameishauri Idara ya Utawala na Utumishi kuepuka upendeleo wakati wa mchakato wa kuwapata wafanyakazi bora kila Mwaka.  “Tuangalie Mtu mmoja anayechapa kazi, halafu Motisha zingine tusambaze kule kwa watendaji, walimu…” Alisema Ndugu Nyemba.

Hoja hiyo iliungwa mkono na Mwenyekiti wa Kamati ya Uratibu Wilaya (TALGWU) Ndugu Michael Paul Machimo ambaye kwa upande wake ameishauri Idara ya Utawala na Utumishi kufanya utafiti wa kina kuhusu vigezo vya upatikanaji wa wafanyakazi bora. “Kila mtu ana haki ya kuchukua hizo pesa shilingi laki tano (500,000/=) Hebu kama kuna njia ya kufanya ifanyike njia kama ni mitihani au vitu vya aina gani vitumike kupitia Idara husika..” Alisema Ndugu Machimo.

Akichangia rasimu ya bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, Katibu wa chama cha wafanyakazi wa Serikali za mitaa (TALGWU) Mkoa bwana Wandiba P.N. Kongoro ameishauri Idara Idara ya Utawala na Utumishi kutenga bajeti ya kutosha kugharamia Mazishi ya watumishi ili kuenzi hadhi ya Utumishi wao.

Akitolea ufafanuzi wa hoja mbalimbali, Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala Bwana Fortunatus Mabula amesema kuwa mawazo yote ya wajumbe yamechukuliwa na yatafanyiwa kazi ikiwemo maboresho ya gharama za Mazishi ya Watumishi wanaopoteza Maisha yao pamoja na ulipaji wa Madeni mbalimbali.

Baraza hilo la wafanyakazi Kongwa limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri na kuhudhuriwa na wajumbe mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Idara na Vitengo, Afisa kazi Mkoa wa Dodoma Bi. Eunice Tesha, Viongozi wa vyama vya wafanyakazi, Mkurugenzi Mtendaji (W) na wengineo.

 


Matangazo

  • Kuitwa kwenye Usaili Ajira za muda -TASAF December 02, 2022
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022 December 01, 2022
  • Kuitwa kazini Ajira za Muda - TASAF December 06, 2022
  • Fomu ya Maelekezo ya kujiunga na shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaigwa. May 18, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Viongozi wa kisasa watakiwa kushirikiana na wataalamu

    March 12, 2023
  • Watendaji wote waahidiwa kupewa pikipiki

    February 17, 2023
  • Kongwa kumalizia tatizo la Upimaji Ardhi.

    February 14, 2023
  • Mkurugenzi Kongwa aonya wazazi wanaokatisha tamaa wanafunzi.

    February 13, 2023
  • Tazama Yote

Video

''KONGWA MMEUPIGA MWINGI''
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.