• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

DC Kongwa Agusa hisia za Watumishi wa Ajira Mpya.

Imewekwa: October 28th, 2022

Na Stephen Jackson, Kongwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius Mwema Emmanuel, amewataka wafanyakazi wa ajira Mpya kuzingatia Maadili ya Kazi na kutumia ubunifu katika kazi zao Ili kuyamudu Mazingira.

Mhe. Mwema amesema hayo wakati akizungumza na wafanyakazi wa ajira mpya kwa kada za Watendaji wa vijiji, Afya na Elimu katika hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa VETA Wilayani Kongwa.

Mheshimiwa Mwema amewaasa watumishi hao wa ajira mpya kuishi kwenye vituo vya kazi walivyopangiwa Ili kuwawezesha kutatua changamoto zinazoyakabili makundi ya wananchi, katika jamii wanayoihudumia.

Pamoja na mambo mengine ametoa wito kwa wananchi kuchangamkia fursa za kiuchumi Ili waweze kujikwamua kimaisha huku wakiepuka maisha ya anasa na ya kuiga ambayo huwafanya watumishi wengi kujiingiza kwenye mikopo isiyokuwa na tija.

Naye Mkuu wa Taasisi ya kuzuia  na kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilaya ya Kongwa Bwana Cosmas Shauri, ametuma fursa ya kikao hicho kuwaasa watumishi hao wa ajira mpya, kutojihusisha kwenye Masuala ya Rushwa Ili waweze kubaki salama kwenye Utumishi wao.

Bwana Shauri amesema kwamba Watumishi wanapaswa kuwa waadilifu kwa na kamwe wasithubutu kuivutia taasisi hiyo kuwaingiza kwenye uchunguzi, badala yake waisaidie TAKUKURU Kufichua taarifa za ubadhurifu wa miradi kwa kuwa athari zake zinaathiri pia haki zao.

Katika semina hiyo watumishi wameelekezwa umuhimu wa kutunza Siri sambamba na kuepuka mambo yanayoweza kuwapunguzia uwezo wa kutunza Siri ikiwemo ulevi, mada iliyowasilishwa na Bwana Kelvin Mlokozi.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Divisheni ya Utumishi na Utawala Afisa Utumishi Bwana Douglas John amewaeleza watumishi hao kuwa mchakato wa malipo yao ya posho ya kujikimu upo katika hatua za mwisho hivyo katika kipindi kifupi watalipwa posho zao.

Katika hatua nyingine watumishi 34 wa kada ya Watendaji wa vijiji wamekula kiapo cha uaminifu mbele ya Mwanasheria wa Halmashauri Bwana Renatus Pauline Ikiwa ni takwa la kisheria.

Nao baadhi ya watumishi hao wapya wamempongeza mkuu wa Wilaya kwa kuwausia mambo mbalimbali ambayo wameyataja kama msingi madhubuti katika kuimarisha utumishi wao.

Bi. Rachel Alex Kanyamala ambaye ni Afisa Mtendaji Kijiji cha Chilanjilizi, licha ya kufurahishwa na mafunzo hayo pia ameshauri semina kama hiyo ifanyike katika Halmashauri nyingine Ili kuwapa dira ya pamoja katika  Utekelezaji wa Majukumu mbalimbali kwa wafanyakazi wa ajira mpya.

Kwa upande wake Shabani waziri Afisa Mtendaji Kijiji cha Tubugwe juu, ameeleza kuwa Semina hiyo rimekuwa na Manufaa makubwa katika Utumishi wao kwani imewawezesha kutambua majukumu yao.


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.