• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

DC KONGWA ATOA MIKAKATI MIGOGORO WAKULIMA NA WAFUGAJI.

Imewekwa: January 22nd, 2025

Kufuatia mgogoro wa eneo la malisho ulipo baina ya wakulima na wafugaji wa vijiji vya Manyusi na Chitego vilivyopo Kata ya Chitego wilayani Kongwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mheshimiwa Mayeka Simon Mayeka ametoa mikakati kudhibiti mgogoro huo ikiwemo kupimwa na kuweka mipaka kubainisha eneo la malisho na kilimo.

Mhe Mayeka ametoa maagizo hayo mbele ya mkutano wa hadhara na Wananchi wa Kata ya Chitego alipozungumza juu ya mgogoro unaokabili wakulima na wafugaji wa vijiji hivyo ambapo amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kwa kushirikiana na idara ya ardhi Hadi kufikia Januari 30 kuhakikisha wanaweka mipaka ya vijiji vya Manyusi Chitego na Ngutoto na kila Kijiji kuwa na eneo lake la malisho.

"Tunapaswa kulipima eneo la malisho tujue Lina ukubwa wake na kuweka alama kamati za wafugaji na wakulima mshughulikie hilo naamini mgogoro utaisha tu" alisema Mayeka.

Licha ya kuzuia uingizaji wa mifugo kutoka nje ya Kijiji lakini Mayeka amemtaka Polisi Kata ya Chitego kusimamia suala la kamata kamata ya wananchi bila hatia, kuwafatilia vijana wa kimasai wanaowapiga watu bila sababu na kuhakikisha inaundwa kamati ya maridhiano kati ya wakulima na wafugaji ili kuleta mshikamano kati ya makundi hayo mawili.

Vilevile Mh Mayeka ameahidi kulinda haki ya Kila mmoja wakiwemo wakulima na wafugaji na kusema kuwa ni muhimu kuwa na mpango bora wa matumizi ya ardhi kila mmoja kuheshimu mipaka inayowekwa eneo liitengwa kwaajili ya mashamba hairuhusiwi kuingiza mfugo hata kama halitalimwa.

Wakiongea mbele ya mkuu wa wilaya ya Kongwa wananchi hao wamesema kuwa licha ya changamoto ya wakulima na wafugaji ya kugombania eneo la malisho na wafugaji kuwapiga wakulima lakini pia wanakabiliwa na kero ya viongozi wa vijiji kuwanyanyasa kutokujali shida zao hali inayopelekea ubaguzi na kukamatwa na kupelekwa polisi bila sababu na kukuza maeneo  ya ardhi kiholela kwa wafugaji ambao ni wahamiaji kutoka wilaya za jirani.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Chitego Mheshimiwa Peter Kalunju amekiri kuwepo kwa mgogoro wa wakulima na wafugaji unaotokana na matumizi ya ardhi ambapo baada ya kugawa vijiji vya Chitego na Manyusi mipaka haikuwekwa hali inayopelekea wananchi kugombea eneo la malisho.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.