• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

DC-Kongwa Azungumza na wafanyakazi wa Halmashauri muda mfupi baada ya kukabidhiwa ofisi

Imewekwa: June 24th, 2021

Mkuu wa wilaya ya Kongwa Mhe: Remedius Mwema Emmanuel, amezungumza na wafanyakazi wa Halmashauri pamoja na wadau wengine, katika ukumbi wa Mikutano muda mfupi baada ya kukabidhiwa Ofisi.

Mhe: Dkt Suleimani Serera, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Mkoani Manyara. Mapema leo amekabidhi ofisi kwa maana ya vitendea kazi vyote kwa Mhe: Remedius Mwema Emmanuel mbele ya kamati ya ulinzi na Usalama ya Wilaya, ili aweze kuendelea na majukumu ya Mkuu wa Wilaya, katika Wilaya ya Kongwa.

Awali Dkt. Serera alimshukuru Mungu kwa kumuwezesha kuhudhuria hafla hiyo na pia Mhe. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kumwamini na kumpa nafasi kwa mara nyingine. Hali kadharika alimshukuru Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kongwa, pamoja na watumishi wa Halmashauri kwa kushirikiana naye kwa kipindi chote cha uongozi wake.

Kwa upande wake Mhe. Remidius Mwema, pia amemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro kwa ushirikiano aliomuonesha kwa kipindi alichofanya kazi pamoja naye. Katika hotuba yake fupi amewatoa hofu watumishi kuwa yeye si mgeni wilayani Kongwa kwa kuwa mwaka 2010 aliwahi kufanya ziara ya kikazi katika kata zote za wilaya, hivyo yeye ni mwenyeji.

Ameongeza kuwa pamoja na kuteuliwa na kuapishwa kushika nafasi hiyo, yeye siyo bora zaidi kuliko wafanyakazi hao, bali ni kwa sababu Mungu alimuandaa kushika wadhifa huo ambao ni lazima awe mtu moja katika wilaya. Pia ametumia nafasi hiyo kuwasisitiza watumishi wa Kongwa kujitambua kuwa wao ni Hazina ya Kongwa na ni muhimu kwa maendeleo ya Kongwa.

Sanjali na kauli hiyo amewaomba kumpa ushirikiano wa kutosha kama alivyoahidi kushirikiana nao ili kwa pamoja waweze kutimiza malengo na vipaumbele vilivyowekwa.

Akiwakilisha watumishi, Afisa utumishi Ndugu Evodius Rugeiyamu, amemshukuru DC Simanjiro kwa uwajibikaji wake na kwamba katika kipindi chake wilayani Kongwa, watumishi hawakunyanyasika na hivyo amemtakia maisha mema huko Simanjiro. Vilevile amebainisha kuwa watumishi wanajivunia kuwa na DC Mhe. Remedius Mwema kwa kuwa yeye ni mtumishi wa umma na anazijua changamoto za watumishi.

Hafla hii fupi imefanyika leo Juni 22, 2021 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Kongwa, ukihusisha kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, Viongozi wa Chama cha mapinduzi Wilaya ya Kongwa , baadhi ya Madiwani Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali vya Halmashauri, Wanachama wa CCM kutoka Tawi la  China,na wawakilishi wa vikundi vya ujasiliamali kutoka Mbande.


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.