• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

DC. MAYEKA AFUNGA MAFUNZO YA UTHIBITI UBORA WA SHULE KATIKA WILAYA YA KONGWA

Imewekwa: June 2nd, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka amefunga mafunzo ya kujengewa uwezo wa kufanya Tathmini kwa kutumia Mfumo wa Uthibiti Ubora wa Shule (School Quality Assurance System - SQAS) kwa maafisa elimu Kata, walimu wakuu na wakuu wa shule za msingi na sekondari pamoja na wenyeviti wa kamati za uthibiti ubora wa shule wa ndani ya Wilaya.
Mhe Mayeka ametumia fursa hiyo kuishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jitihada kubwa zinazofanywa katika kuboresha Sekta ya Elimu. 
Mhe. Mayeka amegusia umuhimu wa mafunzo hayo kwa kueleza kuwa yanasaidia kuboresha utendaji kazi wa Idara ya Uthibiti Ubora wa Shule kwa kufanya tathmni kidigitali hatua kubwa iliyofikiwa kwani hapo awali tathmini zote zilifanyika kwa kutumia makaratasi na kuongeza kuwa mabadiliko hayo yanaenda kuboresha ufanyaji tathmini kuanzia ngazi za Shule hadi Halmashauri.
 katika mafunzo hayo washiriki wamejifunza ujazaji wa Fomu za School Self Evaluation Form (SSEF) ambazo zinasaidia shule kujitathmini yenyewe kwa kujipima na kuona namna inavyotekeleza majukumu yake ya kila siku.
jumla ya washiriki 370 wamepatiwa mafunzo katika Vituo vinne (04) kwa shule za Binafsi na Serikali ambapo Msingi washiriki 130 na Sekondari washiriki 44. Aidha, jumla ya Maafisa Elimu Kata 22, Walimu Wakuu 130,  Wakuu wa Shule 44 na Wenyeviti wa Kamati za Uthibiti Ubora wa Shule wa Ndani 174 wamepatiwa Mafunzo.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • TUSIFUMBIE MACHO MATUKIO YA UKATILI.

    June 16, 2025
  • DUWASA NA VEI WAKABIDHI MAHITAJI YA SHULE KWA WATOTO 105.

    June 13, 2025
  • DC. MAYEKA AFUNGA MAFUNZO YA UTHIBITI UBORA WA SHULE KATIKA WILAYA YA KONGWA

    June 02, 2025
  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.