• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

DC Mayeka ashauri Malezi sawa kwa Wanafunzi Shuleni

Imewekwa: May 14th, 2024

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka ameshauri wadau mbalimbali wanaojishughulisha na Afua mbalimbali za Malezi na ustawi wa wanafunzi, kuzingatia usawa na uwiano kati ya shule za Serikali na za binafsi.

Mhe. Mayeka alisema hayo Mei 14, 2024 wakati akifungua mafunzo maalumu kwa walimu wa Malezi kwa shule za Sekondari, katika ukumbi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mt. Fransis yaliyopangwa kutolewa kwa siku mbili na wadau kutoka shirika la Kampeni ya Elimu kwa Mwanamke (CAMFED) Ikiwa ni mradi wa miezi 18 Wilayani Kongwa.

Aliongeza kuwa hakuna sababu ya kuwabagua wanafunzi,  linapofika Suala la Malezi kwani licha ya Wanafunzi kusoma shule za binafsi Bado wanalo jukumu la kupata Malezi bora kutoka kwa wadau mbalimbali zikiwemo taasisi binafsi na "programme" za Serikali.

Akizungumza wakati wa kikao cha kutambulisha mradi Mei 13, 2024 Bi. Amina Sanga Afisa kutoka ofisi ya Waziri Mkuu, kazi Ajira na watu wenye ulemavu, alisema lengo na dhamira ya "CAMFED" ni kuwajengea watoto wa kike uwezo wa kujiamini licha ya ugumu wa Mazingira wanayoishi. 

"CAMFED inapaswa iende zaidi ya shule za Serikali. Watoto wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni wa kwetu," Alisema Mayeka.

Mhe. Mayeka aliwatakia heri wadau katika utekelezaji wa Majukumu ya mradi.

Aidha Camfed imetoa mafunzo ya Siku mbili kwa walimu wa nasaha 38, Wakuu wa Shule 38, Maafisa Elimu Kata 22, Maafisa Elimu 2 na na wengineo na hivyo kufanya jumla ya washiriki 108.

Kupitia nguvu kazi  hiyo ni matarajio ya Shirika kuwa wanafunzi wataweza kujifunza stadi za maisha tayari kwa kukabiliana na mazingira, kwa lengo la kufikia malengo yao ya  kielimu.

Awali timu ya Wataalamu 6 ilifika ofisi ya Mkurugenzi na kuzungumza na Mkurugenzi Mtendaji Dkt. Omary Nkullo kuhusu dhamira yao ya kuzindua mradi miezi 18 wa Kampeni ya Elimu kwa watoto wa kike Wilayani Kongwa na kupokelewa vizuri, kabla ya kutambulisha mradi huo ofisi ya Mkuu wa Wilaya.


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.