• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

DED KONGWA APONGWEZWA UTOAJI MIKOPO 10%.

Imewekwa: July 18th, 2025

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari - Kongwa DC

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Dkt. Omary Nkullo amepongezwa kwa kuweza kutimiza agizo la Serikali kwa 100% la kutoa mikopo ya 10% ya Halmashauri kwa makundi ya wanawake vijana na watu wenye ulemavu kwa Mwaka wa fedha 2024/2025.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka wakati alipokuwa akizindua utoaji wa mikopo awamu ya tatu na kukabidhi hundi yenye thamani ya TSh 207,343,000, kwa vikundi 27 ambapo ameeleza kuwa anampongeza sana Mkurugenzi Mtendaji kwa kufanikiwa kutoa mikopo hiyo kwa ukamilifu kama walivyopangiwa kama Halmashauri.

Mhe. Mayeka ameeleza kuwa Serikali Ina Nia njema ya kuwasaidia Wananchi wake wasiokuwa na sifa za kukopesheka katika taasisi za kibenki ili waweze kupata mitaji na kuinua uchumi wa familia zao na Taifa kwa ujumla.

"Mkiwezeshwa kiuchumi mtakuwa na uchumi mkubwa mnyanyue familia na nchi yenu. Nia ya Serikali ni njema kabisa na Mheshimiwa Rais anatamani kuona baada ya muda fulani maisha yenu yanabadilika msimkatishe tamaa" Alisema Mhe. Mayeka.

Licha ya kusisitiza vikundi kuacha migogogoro lakini pia Mhe. Mayeka amewakumbusha wanavikundi kwenda kufanyia kazi fedha hizo kama ilivyokusudiwa na kurejesha kwa wakati ili wananchi wengine waweze kukopeshwa.

Nae Dkt. Omary Nkullo wakati akiongea katika uzinduzi huo amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa katika kipindi cha Mwaka 2024/2025 Wamefanikiwa kwa 100% kutoa fedha za mapato yake ya ndani kwa ajili ya mikopo hiyo hivyo hakuna deni kwa Serikali.

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya jamii Wilaya ya Kongwa Bi. Paskalina Duwe amesema kuwa mchakato umefanyika kwa haki kupata vikundi vyeye sifa kwa makundi yote na hadi kufikia mwezi Juni 2025 kiasi cha fedha TSh 1,049,737,484 zimetolewa kwa vikundi 102 vya wanawake vijana na watu wenye ulemavu katika Wilaya ya Kongwa ambapo kwa awamu ya kwanza zilitolewa TSh 565,000,000 awamu ya pili TSh 277,394,484 na awamu ya tatu TSh 207,343,000.

Vilevile nae Ndg. Emmanuel Jonas mwanakikundi wa  kikundi cha Heros kutoka Kata ya Kibaigwa ameeleza furaha yake kwa kupata mkopo huo na kumpongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwathamini watu wenye ulemavu kwani wanaweza kufanya kazi kama watu wengine na kurejesha mikopo.

Pia Ndg Jonas akiongea kwa niaba ya wanakikundi wenzake ameiahidi Serikali kufanya kazi kwa bidii ili fedha walizopatiwa kuzirejesha kama walivyopangiwa.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • ECOKAZI WATOA MAFUNZO KUHUSU BIASHARA YA KABONI

    July 24, 2025
  • WASIMAMIZI WA AFYA WANOLEWA UDHIBITI NA UTENGANISHAJI TAZIHA.

    July 23, 2025
  • MWENYEKITI KIJIJI CHA MLANJE ARUDISHWA MADARAKANI.

    July 21, 2025
  • DED KONGWA APONGWEZWA UTOAJI MIKOPO 10%.

    July 18, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.