• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

DUWASA Yatakiwa Kuboresha Huduma ya Maji Ibwaga

Imewekwa: July 19th, 2021

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius M. Emmanuel wakati akihutubia wakazi wa Kijiji cha Ibwaga Tarehe 19 Julai 2021 ikiwa ni mwendelezo  wa majukumu yake ya kawaida katika harakati za kutatua kero za wananchi.

Awali Mhe. Mwema aliwashukuru wananchi kwa kuhudhuria kwa wingi na kisha kupokea taarifa ya kijiji iliyoandaliwa na Afisa Mtendaji wa kijiji hicho Bi Juliana Eliji.

Katika hotuba yake Mhe. Remidius M. Emmanuel amesema anatambua kuwa wananchi wa kijiji hicho wanahitaji maji ya uhakika ili waendelee kuwa na imani kwa serikali yao.”Nisingependa wananchi waondoe Imani kwa Serikali” Alisema mheshimiwa Mwema.

Wakiwasilisha kero zao, wananchi wamedai kutoridhishwa na huduma ya maji inayotolewa na DUWASA katika eneo hilo, hali iliyomfanya Mkuu wa Wilaya kuutaka uongozi wa Mamlaka ya maji Dodoma Mjini (DUWASA) wanaoshughulikia mradi mkubwa wa Visima katika kijiji hicho kujibu malalamiko hayo ya wananchi.

Akijibu Hoja hiyo Meneja Ufundi wa Mamlaka ya Maji Dodoma Mjini (DUWASA) Kongwa mjini, ndugu Kwiyukwa Sitta, amefafanua sababu zinazopelekea wananchi kutopata maji ya Uhakika.

 Miongoni mwa sababu zilizotajwa ni pamoja na Kutokamilika kwa Mradi mkubwa wa Visima Sita (6) vya Ibwaga ambao awamu ya kwanza umegharimu Takribani TZS. Milioni mia tano (500,000,000/=) na unatarajia kukamilika katika kipindi cha Miezi miwili kuanzia tarehe ya mkutano huo huku awamu ya pili ikigharimu TZS. Milioni mia tatu na arobaini na moja itakayohusisha usambazaji wa maji katika maeneo yote ya mradi.

Kutokana na sababu hiyo wananchi wamehakikishiwa kuendelea kupata maji kutoka Chemichemi za Vilima vya Sagara ambapo kasi ya maji huwa ni ndogo na kupelekea baadhi ya maeneo kutofikiwa na huduma hiyo Ipasavyo.

Katika kutatua changamoto hiyo Uongozi wa DUWASA - KONGWA kwa kushirikiana na Wananchi wamekubaliana maji hayo yatolewe kwa mgawo, hivyo Ndugu Amani Masoud ameteuliwa kusimamia mgawo huo kwa kipindi cha miezi miwili na atalipwa na DUWASA TZS.Laki Moja kwa Mwezi.

Katika ziara yake, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya alitumia fursa hiyo pia kuwapa tahadhari wananchi kuwa makini siku ya ujio wa mwenge tarehe 30 mwezi huu ili kuepuka ajali hasa kwa watoto na pia kuchukua tahadhali dhidi ya janga la Corona.

Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya aliambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, ambapo Viongozi wa Kata ya Ugogoni na Kijiji cha Ibwaga walihudhuria.   

Matangazo

  • Kuitwa kazini Ajira za muda, Sensa ya watu na Makazi 2022. July 27, 2022
  • Tangazo muhimu kuhusu mabadiliko ya ratiba ya Mafunzo - Sensa 2022 July 29, 2022
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili wa Waombaji wa Kazi ya Kukusanya Taarifa za Anwani za Makazi na Postikodi Wilaya ya Kongwa March 11, 2022
  • Kuitwa kazini kwenye zoezi la ukusanyaji wa anwani za makazi na postikodi March 16, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAPONGEZWA UJENZI WA MIRADI YA MAJI

    August 14, 2022
  • DC Kongwa ahimiza wafanya biashara kulipa Kodi.

    August 12, 2022
  • Viongozi wa Kata na Vijiji watakiwa kusaidia wajasiriamali kwenye maeneo yao

    August 11, 2022
  • Viongozi wa Kata na Vijiji watakiwa kusaidia Vikundi kwenye maeneo yao

    August 11, 2022
  • Tazama Yote

Video

Mikopo ya 10% ukombozi kwa wajasiriamali
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.