• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

ECOKAZI WATOA MAFUNZO KUHUSU BIASHARA YA KABONI

Imewekwa: July 24th, 2025

Meneja miradi EcoKazi Advisory Limited Bw. Rutamanyirwa Laurent ametoa mafunzo kwa wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kuhusiana na biashara ya kaboni na kuelezea nia ya kampuni ya EcoKazi kuingia katika ushirikiano na wadau kutoka Wilaya ya Kongwa kwa ajili ya kufanya biashara hiyo.

Aidha Bw. Rutamanyirwa ameelezea mabadiliko tabia nchi yanayotokana na ongezeko la hewa ukaa angani ambapo amefafanua kuwa hewa ukaa au kaboni ni gesi isiyo na rangi wala harufu, inayopatikana kwa wingi katika angahewa itokanayo na Upumuaji wa viumbe hai, Uchomaji wa nishati ya kisukuku, Uharibifu wa misitu, michakato ya viwandani na kadhalika, na kueleza kuwa gesi hii ikizidi huchangia uharibifu mkubwa wa mazingira.

Meneja miradi wa EcoKazi Ltd pia amefafanua visababishi vya mabadiliko tabia nchi kuwa ni pamoja na shughuli za binadamu kama shughuli za viwanda, ukataji miti, shughuli za usafirishaji na kadhalika ambazo kitakwimu zinaleta athari zitokanazo na mabadiliko tabia nchi ikiwemo mvua nyingi zinazoleta maafuriko, ukame wa mara kwa mara, kuongezeka kwa kina cha Bahari na kumomonyoka kwa fukwe za Bahari kwa kutaja baadhi.

Akifafanua dhumuni la kampuni ya EcoKazi kufanya mafunzo hayo na kutambulisha biashara ya kaboni kwa wadau, mwezeshaji ameelezea kuwa shughuli hiyo ya kiuchumi inahusisha kuzalisha, kuuza au kununua viwango vya kaboni ili kusaidia kupunguza uzalishaji wa gesi chafu hasa hewa ukaa duniani.

Akihitimisha mafunzo, Bw. Laurent Rutamanyirwa ametoa rai kwa wataalamu pamoja na viongozi waliohudhuria mafunzo kuwahamasisha wananchi kutunza misitu iliyopo pamoja na kuanzisha misitu mipya katika maeneo yao kwani biashara ya kaboni ikiwemo uzalishaji wa viwango vya kaboni inategemea uwepo wa misitu na kuongeza kuwa biashara hiyo inalenga kuinua Uchumi wa wananchi watakaojihusisha nayo.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • ECOKAZI WATOA MAFUNZO KUHUSU BIASHARA YA KABONI

    July 24, 2025
  • WASIMAMIZI WA AFYA WANOLEWA UDHIBITI NA UTENGANISHAJI TAZIHA.

    July 23, 2025
  • MWENYEKITI KIJIJI CHA MLANJE ARUDISHWA MADARAKANI.

    July 21, 2025
  • DED KONGWA APONGWEZWA UTOAJI MIKOPO 10%.

    July 18, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.