• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Elimu ya Rushwa yawakuna Wauguzi, matabibu waiomba TAKUKURU kuwatembelea mara kwa mara.

Imewekwa: November 24th, 2023

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilayani Kongwa, imewataka watumishi wa umma kutojihusisha na vitendo vya Rushwa ili waweze kuihudumia Jamii kwa misingi ya usawa.

Kauli hiyo imetolewa na Maafisa wa TAKUKURU, Ijumaa ya Tarehe 24 Novemba, 2023 wakati wakitoa Elimu ya Rushwa na athari zake Kwa watumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Kongwa.

Mkuu wa TAKUKURU Wilayani Kongwa Bwana Cosmas Shauri alitumia fursa ya kikao hicho kufafanua Mazingira na tafsiri ya Rushwa katika shughuli za Serikali huku akisisitiza athari za Rushwa kwenye Sekta ya Afya ikilinganishwa na Sekta nyinginezo.

Shauri alitolea mfano kuwa baadhi ya Wananchi wamekuwa wakilazimika kutoa Rushwa Ili kunusuru maisha ya ndugu zao huku wakitambua kuwa kufanya hivyo ni kinyume na sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa.

Kwa upande wake Ndugu Hamad Kibwana Afisa wa TAKUKURU Kongwa alisisitiza watumishi kufanya kazi kwa kuzingatia matakwa ya sheria na kanuni za Utumishi wa umma ili kujiepusha na athari za Rushwa katika  Utumishi wao, na kwamba TAKUKURU haitosita kumchukulia hatua Mtumishi yeyote atakayebainika na ukiukwaji wa makusudi wa sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa.

Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Majaliwa alihoji Taasisi hiyo ikiwa ni halali kwa wagonjwa kuwapelekea zawadi watumishi kwa madai ya kuridhishwa na huduma zitolewazo, jambo ambalo Maafisa wa TAKUKURU walilitolea ufafanuzi. wakifafanua hoja hiyo walisema utaratibu wa utoaji na upokeaji wa zawadi kwenye Utumishi wa umma unapaswa kuzingatiwa ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa kwa msimamizi wa kazi (Mwajiri) Ilimaamuzi kuhusu matumizi ya zawadi hiyo yafanyike.

Nao baadhi ya Watumishi hao wakiwemo Remija J. Ng'ingo na Maneno Chamgeni wameishukuru TAKUKURU kwa kuwatembelea na kuwakumbusha wajibu wao kiutumishi, na wameiomba Taasisi hiyo kufika mara kwa mara kuwakumbusha na kuwapa Elimu.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.