• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Huduma za Chanjo,Takwimu kwa Watoto Wilayani Kongwa Kuboreshwa

Imewekwa: March 21st, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa imepata neema ya kuboresha taarifa za chanjo kwa watoto kupitia Programu ya Uendelezaji wa Chanjo na Kinga (IVD Program) inayotekelzwa na Wizara ya Afya ikishirikiana na Mfuko wa Bill na Belinda Gates.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee (MOHCDGEC) kupitia mpango wa uendelezaji wa chanjo na kinga (IVD Program) ilibainisha changamoto kuu kadhaa kuhusiana na takwimu na taarifa za chanjo kwa watoto.  Changamoto hizo ni; Takwimu zisizo za uhakika au takwimu za uongo; Taabu katika kufuatilia watoto walioacha chanjo au kliniki (defaulters); Ukosefu wa utambulisho wa kipekee kwa watoto; Uonekano hafifu wa takwimu (poor data visibility); Mchanganyo (complexity) wa fomu za kukusanyia takwimu; na Usimamizi usiotosheleza wa mnyororo wa usambazaji na uchukuaji katika vituo vya kutolea huduma.

Kutokana na changamoto hizi, Wizara ya Afya ikishirikiana na Mfuko wa Bill na Belinda Gates wamekuja na suluhisho la EIS, wakiwa na imani kwamba; takwimu bora, ukijumuisha na maamuzi bora, kutapelekea kuwa na matokeo ya afya bora.


EIS ni kifupisho cha Electronic Immunization System – Mfumo wa kielektroniki unaohusika na uandikishaji na utunzaji wa taarifa za watoto ukiwa na vipengele viwili (2); VIMS – Vaccines Information Management System: Mfumo unaotumika katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na ngazi ya Taifa. TImR – Tanzania Immunization Registry: Mfumo unaotumika katika ngazi ya kituo cha kutolea huduma ya afya (HF).


Programu hii ina malengo ya; Kuboresha ubora na upatikanaji wa takwimu; Kuongeza matumizi ya takwimu na ujuzi wa maamuzi katika ngazi zote za mifumo ya afya; Kutengeneza motisha katika kutumia takwimu ili kuboresha ufanisi; Kuongeza uwezo wa kusimamia ufanisi.

Katika kutekeleza shughuli za mfumo huu, vituo vya kutolea huduma kila kimoja kinapata Kishikwambi (Tablet) moja na Barcode scanner sanjari na namba maalum za utambulisho katika kadi ya mtoto (barcode stickers).  

Aidha, mafunzo kwa Wawezeshaji Ngazi ya Wilaya - Kongwa EIS IMPACT TEAM (TOTs) kuhusu Mfumo wa TImr yamefanyika tarehe 5 – 9 Machi, 2018 na sasa,Timu wanaendelea na mafunzo kwa watoa huduma katika vituo vyao husika - Onsite Training.


Aidha, usajili wa watoto wanaopata chanjo unatarajia kuanza mara tu vifaa vitakaposambazwa katika vituo mapema wiki ijayo kwa vituo vyote 51 katika Wilaya nzima.

Mfumo huu wa TImr unatumika katika mikoa 4, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ndiyo ilianza na sasa imeanza kutumika Mkoani Dodoma na kutekelezwa katika Wilaya zote, kisha utasambazwa nchi nzima kwa awamu ili kuondokana na matumizi ya vitabu katika kurekodi taarifa za watoto ambao unampotezea muda mwingi mtoa huduma katika kuanda ripoti kutokana na utitiri wa vitabu vyenye taarifa zinazoingiliana.


Taarifa na Nkinde Moses (Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA H/W Kongwa) - Mjumbe wa Kongwa EIS IMPACT TEAM

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.