• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

JUKWAA LA KUTETEA USTAWI WA MNYAMAKAZI PUNDA KUANZISHWA KONGWA

Imewekwa: August 29th, 2025

JUKWAA LA KUTETEA USTAWI WA MNYAMAKAZI PUNDA KUANZISHWA KONGWA

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari - Kongwa DC

Kikao cha kwanza cha kuanzisha mchakato wa uanzishwaji wa Jukwaa la kutetea ustawi wa mnyama kazi Punda unaotekelezwa na Shirika la INADES- Formation Tanzania na kufadhiliwa na Broke East Afrika kupitia mradi wa kuboresha Maisha ya Jamii kupitia kuboresha ustawi wa mnyama kazi Punda.

Baadhi ya wataalam walioshiriki katika kuanzishwa kwa jukwaa hilo. 

Bwana George Pharles, Afisa Mradi amesema kuwa mradi huo utatekelezwa katika Vijiji vitatu vya Wilaya ya Kongwa ambavyo ni Mautya A, Nguji na Makole kwa lengo la kuongeza thamani kwa mnyama kazi punda, kuanzisha biashara ili kuinua uchumi, Kuanzisha mashamba ya malisho, kuanzisha mfuko maalumu wa kusaidia matibabu na kuanzisha Klabu mashuleni ili watoto waelewe thamani ya punda na kutoa elimu kwa wengine.

Bw Geoege Pharles Afisa mradi akitoa ufafanuzi wa mradi huo mbele ya wadau.

Pia Bw. Pharles amefafanua kuwa licha ya kuanzishwa kwa Jukwaa hilo, pia mradi utakuwa na kazi ya kusimamia uanzishwaji wa sheria ndogo ngazi ya Wilaya, Kata na Vijiji kwaajili ya kutetea mnyamakazi Punda.

Bi. Jacqueline Nicodemus, meneja wa mradi amesema kuwa kumekuwa na changamoto kubwa kwenye biashara ya punda hivyo mradi unafanya kazi kuhakikisha haki za wanyama zinatekelezwa hususani utekelezaji wa zuio la uchinjaji wa Punda.

Bi Jacqueline Nicodemus Meneja mradi akiongea katika kikao hicho.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili September 02, 2025
  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DC KONGWA AGAWA VYETI KWA WAHITIMU VETA WANAWAKE NA SAMIA

    August 31, 2025
  • MAGEREZA KONGWA YAJIVUNIA MIAKA 64 YA UREKEBU KWA WAFUNGWA

    August 30, 2025
  • JUKWAA LA KUTETEA USTAWI WA MNYAMAKAZI PUNDA KUANZISHWA KONGWA

    August 29, 2025
  • KOFIH YAKABIDHI VIFAA NA MIUNDOMBINU YA AFYA KONGWA

    August 24, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.