• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Kamati ya Fedha yaridhishwa na hatua ya Utekelezaji miradi.

Imewekwa: August 27th, 2022

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Kamati ya Fedha katika Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma, imeridhika na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Miradi hiyo ni Ile ya ujenzi wa vituo vya Afya na Shule za Sekondari iliyojengwa kutokana na vyanzo tofauti vya fedha  ikiwemo tozo za miamala na miradi ya ujasiriamali inayoendeshwa Kwa mikopo ya Halmashauri.

Aidha kamati hiyo imekagua vituo vitatu vya Afya ambavyo ni Kituo cha Afya cha Chamkoroma, Pandambili na Chitego, pamoja na bweni la Wanafunzi wenye Mahitaji Maalumu katika Shule ya msingi Mkoka na Shule mbili ambazo ni Shule ya wasichana Kibaigwa na Shule ya Sekondari Lenjulu.

Kwa upande wa Miradi ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye Mahitaji Maalumu,  ukaguzi huo ulifanyika katika kijiji cha Majawanga, Matongoro, Hogoro na Mkoka ambapo kamati ilikagua miradi ya kilimo cha umwagiliaji hususani mboga mboga na ufugaji.

Aidha kamati ilibaini kuwa miradi hiyo inakabiliwa na tatizo la mfumko wa bei ya vifaa na pia upatikanaji wa masoko ya bidhaa zinazozalishwa.

Kufuatia Changamoto hizo, Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya jamii Wilaya ya Kongwa Bi. Paskalina Duwe amelazimika kutoa elimu juu ya urejeshaji wa mikopo pindi mradi unapokumbwa na changamoto ikiwa ni pamoja na mjasiriamali kutoa taarifa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji ili kuomba kuongezewa muda wa marejesho.

Hayo yote yamebainka tarehe 26 Agosti, 2022 wakati wa ukaguzi wa miradi uliofanywa kwa muda wa siku mbili ukihusisha wajumbe wa kamati hiyo

Akitoa tathmini ya Jumla, Mwenyekiti wa kamati Mhe. White Zuberi Mwanzalila alisema kuwa miradi yote iliyokaguliwa ipo katika hatua nzuri ya utekelezaji ambapo Shule zote mbili zimeanza kutumika na wakati huo huo akielekeza Kituo Cha Afya Cha Chitego kuanzia kutumika mwezi Septemba mwaka huu.

Naye Diwani wa Viti Maalumu kutoka Kata ya Kibaigwa Mhe. Asha Rajab alitaja mfumko wa bei ya vifaa kama sababu ya kuchelewa kukamilika Kwa miradi ya ujenzi, hivyo ameishauri Serikali kuzingatia tatizo la mfumko wa bei wakati wa utoaji wa fedha za miradi.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.