• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

KATIBU TAWALA MKOA DODOMA AMEFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI KONGWA

Imewekwa: September 15th, 2025

KATIBU TAWALA MKOA DODOMA AMEFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI KONGWA

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari - Kongwa DC

Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Khatibu Kazungu amefanya ziara ya kikazi Wilayani Kongwa leo Septemba 15, 2025 akiwa na lengo la kujitambulisha na kuongea na watumishi.

Akiongea na watumishi wa Wilaya ya Kongwa katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Veta Kongwa Bw. Kazungu amewasisitiza watumishi kufanya kazi kwa kuheshimiana, kuzingatia sheria kanuni na taratibu za utumishi wa umma kwani hiyo ndiyo miongozo inayosimamia utendaji wa watumishi wa kazini.

Bw. Khatib Kazungu Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa.

Aidha Bw. Kazungu amesisitiza watumishi kuzingatia malengo ya dira ya taifa ya mwaka 2050 na ilani ya Chama cha Mapinduzi kinachotawala chini ya Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali.

"naomba ushirikiano ili tuweze kulisongesha gurudumu la maendeleo ya Mkoa wa Dodoma na niwahakikishie kila mwenye changamoto aje kuniona" amesema Kazungu.

Baadhi ya Watumishi wilaya ya kongwa wakiwa katika mkutano huo.

Akisoma taarifa ya Maendeleo ya Wilaya Katibu Tawala Wilaya ya Kongwa Bi. Sozi Ngate amesema kuwa Wilaya ya Kongwa inaendelea vizuri na mashirikiano mazuri baina ya Taasisi, Chama na Wananchi na wanaahidi kushirikiana nae katika kutimiza wajibu wao katika kazi.

Katibu Tawala Wilaya ya Kongwa Bi. Sozi Ngate akiwasilisha taarifa ya maendeleo ya Wilaya ya Kongwa.

Kwa upande wao watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa wamesema wamempokea na kumkaribisha Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma na wanaahidi kushirikiana nae katika safari ya kuelekea 2030.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Dkt. Omary Nkullo akiwa katika mkutano huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI -JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA - JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA JIMBO LA KONGWA October 14, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DC KONGWA AZINDUA JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI NGAZI YA WILAYA

    October 24, 2025
  • KONGWA YATOA ZAIDI YA MILIONI 216 MIKOPO 10% AWAMU YA KWANZA 2025/2026

    October 23, 2025
  • DC KONGWA ASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA

    October 14, 2025
  • DED KONGWA AZINDUA DARASA JANJA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KIBAIGWA

    October 09, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.