• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA KONGWA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025.

Imewekwa: November 1st, 2024


Kikao cha baraza la Biashara Wilaya ya Kongwa kimefanyika huku kikiwa na ajenda mbalimbali ikiwemo kupokea na kuthibitisha ajenda za kikao, Kusoma na kuthibitisha muhtasari wa kikao cha Baraza la Biashara kilichofanyika tarehe 07, Disemba, 2023 na kupitia yatokanayo na kikao hicho, Kupokea na kujadili fursa za kiuchumi zilizopo Wilayani Kongwa, Kupokea na kujadili changamoto kutoka sekta binafsi.



Akiongea kwa wakati wake Afisa Biashara ametumia wasaa huo kutoa maelekezo kwa wajumbe kuhusiana na utaratibu wa wafanyabiashara kujisajili katika Mfumo mpya wa TAUSI ambapo ametoa maelekezo ya namna ya kumsajili mteja kwenye mfumo mpya wa ukusanyaji mapato (TAUSI).

Aidha kikao kimeibua hoja kutoka kwa wajumbe ambao kwa nyakati tofauti wameshauri kuwa TRA ione uwezekano wa kutoa elimu kwa Umma kuhusu ulipaji wa kodi kwa wafanyabiashara waliopo maeneo ya Kibaigwa, Mlali, Mbande, Mkoka na Kongwa kwani zoezi hilo litasaidia kuondoa malalamiko ambayo hujitokeza kutoka kwa wafanyabiashara.



Aidha, Wataalam kutoka kikosi cha Zimamoto pia waliwasilisha mada juu ya umuhimu wa kuwa na vifaa vya zimamoto katika Ofisi, kumbi za mikutano, nyumba za wageni na pia nyumba za watu binafsi. Pia walisisitiza kuwa ni vizuri mtu anapotaka kujenga jengo awasiliane na kitengo chao ili kuweza kupata ushauri wa namna ya kuweka miundombinu mizuri kwa ajili ya kudhibiti na kujiokoa wakati majanga ya moto yanapotokea.

Sekta binafsi imepata wasaa wa kuibua changamoto zao mbele ya Mkuu wa Wilaya ambapo muwakilishi ameelezea changamoto mbalimbali ikiwemo ufinyu wa eneo la Maegesho ya malori pembezoni mwa barabara katika eneo la Mji Mdogo Kibaigwa na kuiomba Halmashauri iwasaidie kupanua eneo hilo la maegesho ya malori ili yaweze kupaki vizuri na kuondoa msongamano wa magari mengine katika barabara Kuu.



Aidha muwakilishi wa sekta binafsi ameeleza changamoto ya wakulima wengi kutokuwa na hati miliki za mashamba yao hivyo kukosa fursa za mikopo kutoka katika Taasisi za kifedha na wajumbe kutoka sekta binafsi wameiomba Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kupitia wataalamu wake wa ardhi ielezee mikakati ya kuwasaidia wakulima na kueleza ni lini watapimiwa maeneo ya mashamba na kupatiwa hati miliki zao.

aidha muwakilishi wa sekta binafsi ameomba maeneo ya wafugaji yabainishwe katika vijiji na yapimwe ikibidi yawe na hati miliki kutokana na changamoto ya wafugaji na wakulima kuingiliana katika mipaka yao kwani hii itasaidia kuondoa migogoro ya ardhi katika wilaya ya Kongwa.

Kabla ya kufunga kikao Mwenyekiti ameendelea kusisitiza kuwa Baraza liibue miradi mbalimbali ambayo itapata uungwaji mkono nwa kusaidia kuongezeka kwa mzunguko wa hela katika Wilaya ya Kongwa.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.