• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

KOFIH YAKABIDHI VIFAA NA MIUNDOMBINU YA AFYA KONGWA

Imewekwa: August 24th, 2025

KOFIH YAKABIDHI VIFAA NA MIUNDOMBINU YA AFYA KONGWA

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa imekabidhiwa jenereta moja pamoja na majengo mawili ikiwemo jengo la kliniki ya huduma za uzazi na mtoto pamoja na jengo la wodi ya watoto katika kituo cha Afya Kibaigwa kupitia ufadhili wa Serikali ya Korea kupitia Taasisi ya Kimataifa ya kuboresha afya “Korea Foundation International Healthcare” (KOFIH).

Katika Mkoa wa Dodoma, kiasi cha takribani Shilingi Bilioni 5.524 katika kipindi cha miaka minne kimetolewa na KOFIH ambapo fedha hizo zinatajwa kutumika kuboresha mazingira ya utoajihuduma za afya kwenye vituo vya mradi ambao unatekelezwa katika Wilaya mbili za Mkoa wa Dodoma ambazo ni Kongwa na Mpwapwa.

Baadhi ya wananchi wa wilaya ya kongwa walioshiriki katika hafla ya makabidhiano hayo.

Akiongea mbele ya mgeni rasmi, mwakilishi mkaazi wa KOFIH Bw. Gyeongloae Seo, ameleza kuwa majengo ambayo wameyakabidhi pamoja na jenereta yana lengo la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watafurahishwa kuona majengo hayo yanatumika ipasavyo na kuwa na athari chanya katika jamii ya wanakongwa na watanzania kwa ujumla.

Bw Gyeongloae Seo mwakilishi mkaazi wa KOFIH akiongea katika hafla ya makabidhiano.

Naye mkuu wa wilaya ya kongwa mhe. Mayeka s mayeka amewashukuru KOFIH kwa ufadhili huo wakati akikabidhiwa majengo hayo pamoja na jenereta na kuongeza kuwa ufadhili huo unakuja baada ya juhudi za mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kuboresha mahusiano mazuri nan chi za nje hivyo haya ni matunda ya Nchi ya Tanzania kuwa na uhusiano mzuri na nchi nyingine.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili September 02, 2025
  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DC KONGWA AGAWA VYETI KWA WAHITIMU VETA WANAWAKE NA SAMIA

    August 31, 2025
  • MAGEREZA KONGWA YAJIVUNIA MIAKA 64 YA UREKEBU KWA WAFUNGWA

    August 30, 2025
  • JUKWAA LA KUTETEA USTAWI WA MNYAMAKAZI PUNDA KUANZISHWA KONGWA

    August 29, 2025
  • KOFIH YAKABIDHI VIFAA NA MIUNDOMBINU YA AFYA KONGWA

    August 24, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.