• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Kongwa Yang'ara Miradi ya Maendeleo

Imewekwa: August 19th, 2023

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa (LAAC) imewapongeza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kwa kusimamia vizuri ujenzi wa miradi kupitia Fedha zinazotolewa na Serikali.

Akiwasilisha Taarifa ya ujenzi wa wodi tatu za Wagonjwa katika Hospitali ya Wilaya,  Dkt. Thomas Ndalio Samweli, Mganga Mkuu Wilaya alieleza kuwa, kiasi cha shilingi 750,000,000.00 kilipokelewa mnamo  Mwezi Disemba 2022, kwa ajili ya ujenzi wa wodi, na jumla ya Shilingi 623,808,220.00 zimetumika kujenga wodi hizo ambazo ni wodi ya wanaume, wanawake na watoto na ujenzi umekamilika kwa asilimia 98% na Fedha zilizosalia zimetumika kuboresha miundombinu mingine ikiwemo jengo la wazazi.

Akihutubia katika ziara hiyo, Makamu Mwenyekiti wa kamati Mhe. Stanslaus Mabula (Mb) aliwapongeza viongozi Wilayani Kongwa kwa kusimamia vizuri matumizi ya fedha na hivyo kutimiza malengo ya Serikali, huku Dhamira ya kamati hiyo ikiwa ni kuona thamani ya fedha katika miradi inayotekelezwa.

Akihutubia wananchi wa Kata ya Chiwe katika Shule ya Msingi Moleti iliyojengwa Kwa zaidi ya Milioni 300 kupitia mradi wa BOOST, amewataka wananchi kutunza miundombinu inayojengwa na Serikali ili iweze kuleta manufaa Kwa jamii husika.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule alisema kupitia mradi wa BOOST Mkoa wa Dodoma ulipokea kiasi cha Shilingi Bilioni 10 na Milioni 600 zilizotumika kujenga Shule mpya 16, madarasa 103, vyoo na miundombinu mbalimbali ambayo imechangia mabadiliko makubwa katika sekta ya Elimu.

Aidha Mhe. Senyamule ametumia fursa hivyo kuipongeza kamati ya Bunge Kwa mchango wake mahsusi katika kufanikisha miradi.

Naye Dkt. Festo Dugange Naibu waziri Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa  ameishukuru kamati hiyo Kwa kutembelea na kukagua miradi, huku akiungana na wananchi kumpongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa kutoa Fedha Shilingi Milioni 318 Kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Msingi Moleti kupitia mradi wa BOOST.

Awali Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Bwn. Fortunatus Mabula aliwasilisha Taarifa fupi ya utekelezaji miradi husika.


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.