• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Kongwa yapata Mafunzo kuhusu Mfumo wa Kurasimisha Biashara Ndogo Katika Ngazi ya Halmashauri

Imewekwa: July 12th, 2017

Mradi wa Kuboresha  Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (LIC Project) umeendesha mkutano wa kuwasilishaji wa mada ya Mfumo wa Kurasimisha Biashara Ndogo Katika Ngazi ya Halmashuri wilayani Kongwa. Uwasilishaji huu umefanyika kwa baadhi ya wajumbe wa Baraza la Madiwani na  wajumbe wa Timu ya Menejimenti ya Halmashauri (CMT) katika Ukumbi wa MIkutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. 

Mwakilishi wa wa LIC Ndugu Goodluck Mghonu ameeleza kwamba lengo la uwasilishaji huu ni kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji katika Wilaya ya Kongwa kwan kuna changamoto nyingi ambazo wameziona wakati wa utafiti wao. Aidha, alieleza kuwa asilimia themanini (80%) ya biashara zilizopo Kongwa si rasmi na zinapelekea ukosefu wa fursa nyingi kwa Halmashauri na wafanyabiashara wenyewe.

Mada ya mkutano amewasilisha  Dr. Goodluck C. Urassa Mkurugenzi wa Chuo cha Usimamizi na Uendelezaji wa Ujasiriamali kutoka Dar es Salaam, Tanzania. Aidha, mjadala kuhusu changamoto mbalimbali na ubainishaji wa makundi na biashara ndogo uliefanyika na hatimaye washiriki kuazimia masuali ya kimkakati katika kutekeleza mfumo baada ya Menejimenti kuridhia mfumo wasilishwa. Utekelezaji wa Mfumo wa Kurasimisha Biashara Ndogo kwa ngazi ya Halmashauri utaanza mara tu baada ya Baraza la Madiwani kuridhia Mfumo huu, ambapo Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. White Zuberi Mwanzalila  ameiagiza Menejimenti kuaharakisha utaratibu kwa kuwasilisha mada katika vikao vyote vya kamati husika na hatimaye kwenye Baraza la mwezi huu na siyo kusubiri Baraza la mwezi wa kumi. 

Pia, washiriki walipendekeza kuundwa kwa kikosi kazi kitakachoshughulikia masuala yote yaliyokubaliwa ambapo ilikubaliwa kwamba Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkuregenzi Mtendaji na Afsa Biashara wa Wilaya ndiyo watahusika kupatikana kwa wajumbe wa kikosi kazi na Afisa Biashara ndiye aatkuwa Mratibu kuunganisha mawasiliano na LIC, na LIC wamesema kwamab wako tayari kusaidia katika kutekeleza shughuli zote za kurasimisha biashara ndogo na Halmashauri ichangamkie fursa hii.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.