• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

KONGWA YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI MIAKA MITANO MFULULIZO.

Imewekwa: July 1st, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa imepongezwa kwa kupokea hati Safi ya uendeshaji wa shughuli zake kwa kipindi cha miaka mitano ya 2020-2025

Akitoa pongezi hizo katika mkutano wa Baraza la Madiwani la kujadili taarifa ya mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali, Afisa kutoka Ofisi ya Mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za Serikali Bw. Karim Mwinyimbegu amesema kuwa kupata hati inayoridhisha ni pamoja na utekelezaji wa hoja zilizokuwepo katika kipindi cha miaka mitano.

Pamoja na kushukuru kwa ushirikiano mzuri wa viongozi uliopo lakini pia Bw. Mwinyimbegu amesema kuwa kutokana na hoja hizo anashauri Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ifanyie kazi, ikague hatua kwa hatua fedha zilizolipwa kimakosa ili ziweze kurejeshwa, ifatilie dawa na vifaa tiba katika bohari ya dawa ili kupata dawa na vifaa tiba vilivyonunuliwa kwa ajili ya manufaa ya wananchi.

Akifafanua namna hati safi ilivyopatikana, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, Dkt Omary Nkullo amesema kuwa hati safi zimepatikana kutokana na usimamizi mzuri wa mifumo ya udhibiti wa ndani pamoja na kuzingatia sheria, kanuni na maelekezo.

Aidha Dkt. Nkullo ameeleza changamoto zilizopelekea kuchelewa kujibu baadhi ya hoja kuwa ni pamoja na hoja zilizo nje ya uwezo wa Halmashauri kama upungufu wa wataalam katika fani mbalimbali ambapo Halmashauri imeendelea kuandika barua mara kwa mara kuomba watumishi na kuongeza kuwa Halmashauri imejipanga kuzimaliza hoja zote ambazo hazijakamilika.

Akisoma taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka, ameeleza kuwa kutokana na taarifa ya mdhibiti wa hesabu za Serikali, anasisitiza kamati ya fedha ije na ajenda ya kudumu kujibu hoja za Mdhibiti, pamoja na hayo pia amesisitiza ujenzi wa jengo la utawala kukamilika kufikia Mwaka wa fedha 2025/26.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • ECOKAZI WATOA MAFUNZO KUHUSU BIASHARA YA KABONI

    July 24, 2025
  • WASIMAMIZI WA AFYA WANOLEWA UDHIBITI NA UTENGANISHAJI TAZIHA.

    July 23, 2025
  • MWENYEKITI KIJIJI CHA MLANJE ARUDISHWA MADARAKANI.

    July 21, 2025
  • DED KONGWA APONGWEZWA UTOAJI MIKOPO 10%.

    July 18, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.