• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

KONGWA YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI

Imewekwa: July 19th, 2024

Na Bernadetha Mwakilabi,

Kongwa mmefanya vizuri sana katika miradi yote iliyoahidiwa kwa wananchi imetekelezwa na hii inatokana na kuwa na mashirikiano mazuri kati ya serikali na chama cha mapinduzi CCM" Amesema Mejiti.Mwenyekiti wa kamati ya siasa mkoa wa Dodoma ndugu Donald Mejiti akiwa ameambatana na wajumbe wa kamati hiyo ametoa pongezi hizo katika ziara yake wilayani Kongwa ya kukagua miradi ya maendeleo iliyopangwa kufanywa katika kipindi cha mwezi Januari hadi June mwaka huu kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya milioni 800,Ndg Mejiti amesema kuwa miundombinu hiyo iliyojengwa na vifaa bora vilivyonunuliwa vitumike ipasavyo ikiwa ni pamoja na wafanyakazi kuboresha utoaji wa huduma kwa kuwa na kauli nzuri ili kuleta tija kwa wananchi.Licha ya kuagiza mwenyekiti wa halmashauri ya Kongwa na diwani wa kata ya  Ugogoni kukutana na wazazi kuwahimiza juu ya umuhimu wa elimu lakini pia amesisitiza wazazi kupeleka watoto wao shule kuacha dhana potofu na badala yake wapende elimu ili vifaa na majengo mazuri ya shule yanayojengwa yawe na thamani kwao.Kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Kongwa Dr Omary Nkullo amesema kuwa fedha zilizotekeleza miradi hiyo ni sehemu ya agizo la Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan kuwa halmashauri zote nchini kutenga fedha za mapato ya ndani ambazo ni fedha za wananchi 40% kwaajili ya matumizi ya miradi ya maendeleo.Nae mganga mkuu wa hospital ya wilaya Kongwa Dr Thomas ameeleza kuwa fedha hizo zimefanikisha kununua vifaa tiba katika hospital ya wilaya vituo vya afya 4 na zahanati 2 ambapo upatikanaji wa vifaa hivyo umesaidia kupunguza rufaa kutoka 150 Januari - septemba 2023 hadi kufikia rufaa 90 oktoba 2023 - mei 2024.Kwa upande wao wananchi wa wilaya ya Kongwa wametoa shukrani zao kw Mh Rais Dr Samia Kwa kujenga na kuboresha miundombinu ya elimu afya kununua vifaa tiba na kuajiri watumishi kutoa mikopo Kwa vijana wanawake na wenye ulemavu na kuahidi kuwa watashiriki vema uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kuanza hivi karibuni.Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa chumba 1 cha maabara katika shule ya sekondari Laikala ujenzi wa vyumba 6 vya madarasa na matundu 8 katika shule ya sekondari Ibwaga ujenzi wa barabara ya lami nyepesi ya kilomita 0.4 ununuzi wa vifaa tiba katika hospital ya wilaya Kongwa na kikundi cha vijana wa bodaboda waliokopeshwa fedha na halmashauri ya Kongwa.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.