• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wanafunzi watakiwa kutofumbia macho vitendo vya ukatili

Imewekwa: April 25th, 2024

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka, amewataka wanafunzi wa ngazi ya Elimu msingi kujenga utaratibu wa kutoa taarifa dhidi ya vitendo vya kikatili vinavyofanywa dhidi yao na watu wasio waaminifu.

Walimu wa S/M Chimlata wakimsikiliza Mhe. Mayeka S. Mayeka Mkuu wa Wilaya ya Kongwa akizungumza na wanafunzi.

Mhe. Mayeka alisema hayo Aprili 24, 2024 wakati akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi Chimlata muda mfupi kabla ya uzinduzi wa kampeni ya utoaji chanjo ya saratani mlango wa kizazi iliyofanyika kiwilaya shuleni hapo ngazi ya Wilaya.

Mhe. Mayeka, muda mfupi kabla ya kuzungumza na wanafunzi wa S/M Chimlata.

DC Mayeka aliwahimiza wanafunzi lengwa wa chanjo ya HPV  inayotolewa na Wizara ya Afya kuwa ni chanjo salama na haina madhara yoyote kwa mujibu wa wataalamu wa Afya." Kama chanjo hii ingekuwa na madhara, tusingeruhusu itolewe" DC Mayeka.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi, Mkuu wa Divisheni ya Afya, lishe na ustawi wa Jamii Daktari  Thomas Ndalio alimwomba Mhe. Mayeka kuzubgumza na wanafunzi hao masuala mbalimbali, kubwa zaidi likiwa ni msisitizo wa chanjo ya HPV.Bwana Cosmas Mlimira - Mratibu wa Chanjo Wilaya ya Kongwa akitoa ufafanuzi wa Chanjo ya "HPV" mbele ya wanafunzi wa S/M Chimlata.

Naye mratibu wa chanjo (DIVO) Wilaya ya Kongwa bwana Cosmas Mlimira alisema chanjo ya HPV hitolewa kwa watoto wa kike wenye umri wa miaka tisa ili kuwakinga na uwezekano wa kupata maambukizi ya vimelea visababishavyo saratani ya mlango wa kizazi pindi wanapofikia umri wa utu uzima.

Mhe. Mayeka akishudia zoezi la utoaji chanjo ya "HPV" kwa wanafunzi - S/M Chimlata

Katika hafla hiyo jumla ya watoto wa kike 179 wa shule hiyo walipata chanjo.

Aidha hadi kufikia tarehe 25 Aprili 2024, Wilaya imeweza kuvuka lengo kwa kuchanja watoto 44,542 ambayo ni sawa na 110.8% ya walengwa  40,195 waliokusudiwa.



Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.