• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

MAADHIMISO YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA YAFANYIKA KONGWA

Imewekwa: August 13th, 2025

MAADHIMISHO YA 33 YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA YAFANYIKA KONGWA

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari - Kongwa DC

Imeelezwa kuwa suala la unyonyeshaji ni msingi wa ukuaji bora wa mtoto na kwamba lishe duni huleta ulemavu na unyonyeshaji duni huathiri ukuaji wa mtoto kiakili, kimwili na mchango wake katika maendeleo ya Taifa.

Hayo yameelezwa na Bi Margreth Temu Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Kongwa alipomwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa katika maadhimisho ya 33 ya wiki ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama yaliyofanyika katika Kijiji cha Ibwaga Kata ya Ugogoni Wilayani Kongwa.


Bi. Margreth Temu Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Kongwa akiongea na wananchi katika maadhimisho hayo

Aidha Bi. Temu amefaafnua kuwa zipo sababu za akina mama kushindwa kunyonyesha zikiwemo kazi nyingi shughuli za utafutaji na mila potofu lakini ni jukumu la jamii yote kuweka mazingira mazuri ya unyonyeshaji kuwapatia lishe bora akina mama wanaonyonyesha ikiwemo kuwapatia mlo kamili.

Nae Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Dkt. Thomas Mchomvu amewataka akina mama kuzingatia kanuni za afya ili waepukane na utapiamlo mkali na madhara yake kama vifo kwa Watoto na kuzingatia maziwa salama ya mama kwa watoto na sio maziwa ya Wanyama.


Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Dkt. Thomas Mchomvu akiongea na wananchi katika maadhimisho hayo

Kwa upande wake Bi. Mary Haule Afisa lishe Wilaya amesema kwa kipindi cha mwaka 2024 watoto waliozaliwa sawa na 99% walinyonya maziwa ya mama pekee na kati yao 5% sawa na watoto 1,720 hawakunyonya maziwa hayo pekee katika kipindi cha miezi sita na kati yao asilimia 31 ya Watoto hao wamedumaa.


Baadhi ya akina mama wakipatiwa huduma za afya katika maadhimisho hayo

Akiongea kwa niaba ya akina mama wenzie Bi. Roda Majuto mkazi wa Kijiji cha Ibwaga amesema maadhimisho yamewawezesha kujifunza kuwa unyonyeshaji mzuri ni miezi sita bila kumpatia mtoto chakula chochote mbadala na baada ya hapo apate lishe bora.



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili September 02, 2025
  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • JAMII IMETAKIWA KUTAMBUA HAZI ZA MNYAMAKAZI PUNDA

    September 26, 2025
  • RC SENYAMULE AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MADARASA SHULE YA MSINGI KONGWA

    September 25, 2025
  • KITUO CHA AFYA KUJENGWA KATA YA SAGARA

    September 22, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII AJIRA MPYA WALA KIAPO

    September 19, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.