• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KONGWA WANOLEWA

Imewekwa: September 15th, 2025

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KONGWA WANOLEWA

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari – Kongwa DC

Afisa utumishi Wilaya ya Kongwa Bw. Fortunatus Mabula amewataka maafisa maendeleo ya jamii kuwajibika katika majukumu yao ya kazi hususani ufuatiliaji wa mikopo ya 10% kuhakikisha Wananchi wanajikwamua na umasikini.

Bw. Mabula ameyasema hayo alipokuwa akifungua kikao kazi cha divisheni ya maendeleo ya jamii kilichofanyika Septemba 16 kikiwa na lengo la kujadili uundaji wa majukwaa ya uwezeshaji wanawake, ufuatiliaji wa mikopo 10%, usajili wa vikundi, taarifa za utekelezaji wa mifumo ya IMES, PEPMIS, na kizazi chenye usawa na masuala ya msaada wa kisheria.

 Pichani Afisa utumishi Wilaya ya Kongwa Bw. Fortunatus Mabula akiongea na Maafisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Kongwa.

Vilevile Bw, Mabula licha ya kuwasihi maafisa maendeleo ya jamii kujiendeleza kielimu lakini pia amewasihi kulinda maadili ya kazi kuona namna bora ya kufanya kazi na jamii na kuheshimiana wao kwa wao.

Maafisa Maendeleo ya Jamii wakiwa katika kikao hicho.

Nae Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Kongwa Bi. Paskalina Duwe amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii wa kila Kata kuwepo katika vituo vyao vya kazi na kuhudumia Wananchi muda wote, kujiepusha na makundi yasiyofaa na kuzingatia mambo yote muhimu yaliyojadiliwa katika kikao hicho.

Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Kongwa Bi. Paskalina Duwe akiongea katika kikao hicho.

Nae Mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini (TASAF) alipohudhuria kikao hicho ametumia nafasi hiyo kuwashukuru Maafisa Maendeleo ya Jamii kwa ushirikiano waliokuwa nao katika kipindi chote cha mpango wa Tasaf awamu ya tatu mpaka unapokwenda kuisha septemba 2025.

Mratibu wa Mpango wa kunusuru kaya masikini (Tasaf) Wilaya ya Kongwa Bw. Elias Chilemu akiongea katika kikao hicho.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI -JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA - JIMBO LA KONGWA. October 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA JIMBO LA KONGWA October 14, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DC KONGWA AZINDUA JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI NGAZI YA WILAYA

    October 24, 2025
  • KONGWA YATOA ZAIDI YA MILIONI 216 MIKOPO 10% AWAMU YA KWANZA 2025/2026

    October 23, 2025
  • DC KONGWA ASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA

    October 14, 2025
  • DED KONGWA AZINDUA DARASA JANJA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KIBAIGWA

    October 09, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.