• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

MAGEREZA KONGWA YAJIVUNIA MIAKA 64 YA UREKEBU KWA WAFUNGWA

Imewekwa: August 30th, 2025

MAGEREZA KONGWA YAJIVUNIA MIAKA 64 YA UREKEBU KWA WAFUNGWA

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari - Kongwa DC

Maadhimisho ya miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara, Kongwa wajivunia kuwa na Gereza Kongwe la tangu enzi za mkoloni mwaka 1949 lenye historia kubwa kutokana na mabadiliko makubwa ya kubadilisha tabia za wafungwa katika jamii.

Akiongea katika maadhimisho hayo SSP Tekla Erasto Ngilangwa Mkuu wa Gereza la Kongwa amesema Jeshi la magereza katika kuhitimisha maadhimisho hayo yaliyoanza agosti 23 yenye kaulimbiu "Ushirikiano wa Jeshi la Magereza na Jamii kwa Urekebishaji Wenye Tija" inataka jamii iweze kuona mchango wa Jeshi hilo katika urekebu wa tabia.

Akiongea wakati wa kukabidhi misaada katika kituo cha watoto wenye ulemavu Mlali SSP Ngilangwa ameeleza kuwa Jeshi la Magereza linatambua mazingira magumu wanayopitia walezi katika kuwalea na kuwahudumia watoto hao na kwamba kwa kufanya hivyo wanaisaidia sana Serikali.

Kwa upande wake Padri Gaudence Shayo Mkurugenzi wa kituo cha watoto wenye ulemavu Mlali ameshukuru Jeshi la Magereza kwa huduma ya misaada waliyoitoa na kuwaomba waendelee na moyo huo wa kuhudumia jamii nyingine zenye uhitaji.

Jeshi la Magereza Kongwa, pia limetoa msaaada katika kituo cha Watoto wenye ulemavu wa wa akili na uziwi kilichopo shule ya msingi kongwa ambapo Mwalimu mkuu msaidizi wa kituo hicho Mwl. Akulu Mongele ameelezea furaha yake kwa kutembelewa na jeshi hilo na kupatiwa mahitaji mbalimbali ya kibinadamu kwani huo ni upendo wa dhati.

Katika maadhimisho hayo Jeshi la Magereza Wilaya ya Kongwa limefanya usafi katika Vituo  vya kutolea huduma za afya, Uchangiaji Damu na kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji, walemavu na watoto yatima na kuwafikia watu wote wenye uhitaji.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili September 02, 2025
  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DC KONGWA AGAWA VYETI KWA WAHITIMU VETA WANAWAKE NA SAMIA

    August 31, 2025
  • MAGEREZA KONGWA YAJIVUNIA MIAKA 64 YA UREKEBU KWA WAFUNGWA

    August 30, 2025
  • JUKWAA LA KUTETEA USTAWI WA MNYAMAKAZI PUNDA KUANZISHWA KONGWA

    August 29, 2025
  • KOFIH YAKABIDHI VIFAA NA MIUNDOMBINU YA AFYA KONGWA

    August 24, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.