• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Mhe. Ndugai ashauri jamii kuvaa viatu vya wahisani

Imewekwa: April 13th, 2024

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Mbunge wa Jimbo la Kongwa na Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Yustino Ndugai ameiasa jamii kuwa na utamaduni wa kusaidiana kiuchumi wenyewe kwa wenyewe badala ya kuacha jukumu hilo kwa wahisani.

Katika hotuba yake, Ndugai amesisitiza kuwa jamii ya watanzania inapaswa kuwa na utaratibu maalumu wa kuwasaidia watoto na vijana wanaotoka kwenye kaya maskini, sambamba na kuwalinda kimaadili.

Mhe. Ndugai amesema hayo wakati akizungumza na waumini wa kanisa Mt. Mathayo Anglikana - Kibaigwa, wakati wa maadhimisho ya miaka 25 ya huduma kwa mtoto na kijana ya shirika la "compassion" Aprili 13, 2024.

Akiwasilisha salamu za Mkurugenzi wa taifa wa Compassion International Tanzania (CIT) Mary Lema,  Meneja wa shirika hilo Kanda ya kati Bi. AKinyi Kembi Migire, alisema Shirika  linahudumia watoto wapatao 9033 katika vituo 51 vilivyopo katika Wilaya saba za Mkoa.

Alibainisha kuwa takribani jumla ya shilingi 60,000,000 hutumwa kwenye vituo (Klaster) saba Wilayani Kongwa kila mwezi sawa na shilingi 720,000,000 kwa mwaka mzima kwa ajili ya kuwaendeleza kielimu wanufaika wa shirika.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii, jinsia na makundi maalum Bi. Paskalina Duwe alisema, licha ya fursa ya kuwepo shirika la "Compassion" jamii inapaswa kutimiza wajibu wake kwa kuwalinda watoto kimaadlili ikiwemo watoto wa kiume.

Akiwakilisha Jeshi la Polisi Kongwa, Mkuu wa Kituo cha Polisi Kibaigwa ASP M. R. Msami alisema licha ya jeshi la polisi kuwa na dhamana ya kulinda Sheria za nchi, jamii nzima inapaswa kutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kutofumbia macho vitendo vya ukatili dhidi ya watoto kwa mujibu wa sheria.

Naye Mtendaji wa Mamlaka ya Mji mdogo wa Kibaigwa Bi. Foska Mgovano ameitaka jamii ya kitanzania kuwa mstari wa mbele kuwasaidia watoto kutimiza malengo yao kwa kuendeleza jitihada za wahisani wa shirika la Compassion.

Katika maadhimisho hayo, baadhi ya wanufaika wa malezi na msaada wa Compassion walitoa shuhuda mbalimbali za mafanikio.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.