• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Mhe. Ndugai awaasa viongozi kushiriki utekelezaji wa miradi

Imewekwa: August 19th, 2021

Na Stephen Jackson  

 Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mbunge wa jimbo la uchaguzi la Kongwa Mhe. Jobu Y. Ndugai amewataka viongozi wa chama na serikali kuwa mfano kwenye ushiriki wa shughuli za miradi mbalimbali ya maendeleo zinazotekelezwa na wananchi. 

Mhe. Ndugai amesema hayo wakati akizungumza na baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa lililoketi tarehe 19 Agosti 2021 kujadili taarifa ya robo ya nne ya mwaka wa Fedha 2020/2021 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri. ‘’Inchi hii imekuwa ya ukaguzi anayejenga nani?’’ Amesema Mheshimiwa Ndugai.

  Aidha Mhe. Ndugai ametoa rai  kwa viongozi wote nchini kushiriki pamoja na wananchi kwenye utekelezaji wa shughuli mbalimbali  badala ya kusubiri kufanya ukaguzi, kauli ambayo imeungwa mkono na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM  (W)  Mwl. Mussa Abdi Matari. ‘’Nadhani alichosema ni cha maana sana ndo maana huwa hanioni ninaenda kukagua,’’ Lakini viongozi siku hizi imekuwa kazi ya maneno tu’’  Alisema Mussa Abdi Matari.

     Mheshimiwa Ndugai ametumia fursa hiyo pia kuwaagiza madiwani wote wa Halmashauri ya Kongwa kuwahamasisha wanafunzi wa darasa la saba kufanya vizuri katika mtihani wa kumaliza elimu ya Msingi unaotarajiwa kufanyika Mwezi ujao ili kuepuka rekodi mbaya ya ufaulu.  

Kuhusu suala la chanjo, Mhe. Ndugai amewaasa viongozi na wananchi kujitokeza kupata chanjo hiyo kwa kuwa ni muhimu kwa afya na maendeleo ya wanachi.

  Naye mkuu wa wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius Mwema Emmanuel amewataka viongozi kuzingatia kauli ya Mheshimiwa Spika kwa kushiriki kiamilifu katika kufanya shughuli mbalimbali ili kuwa sehemu ya ufanisi wa miradi inayotekelezwa katika maeneo yao.

Mkutano huo wa baraza umehudhuriwa na wajumbe wa baraza hilo wakiwemo wenyeviti wa mabaraza ya Mamlaka za miji midogo ya Kongwa na Kibaigwa na Baadhi ya wataalamu kutoka taasisi mbalimbali.

Matangazo

  • Kuitwa kazini Ajira za muda, Sensa ya watu na Makazi 2022. July 27, 2022
  • Tangazo muhimu kuhusu mabadiliko ya ratiba ya Mafunzo - Sensa 2022 July 29, 2022
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili wa Waombaji wa Kazi ya Kukusanya Taarifa za Anwani za Makazi na Postikodi Wilaya ya Kongwa March 11, 2022
  • Kuitwa kazini kwenye zoezi la ukusanyaji wa anwani za makazi na postikodi March 16, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAPONGEZWA UJENZI WA MIRADI YA MAJI

    August 14, 2022
  • DC Kongwa ahimiza wafanya biashara kulipa Kodi.

    August 12, 2022
  • Viongozi wa Kata na Vijiji watakiwa kusaidia wajasiriamali kwenye maeneo yao

    August 11, 2022
  • Viongozi wa Kata na Vijiji watakiwa kusaidia Vikundi kwenye maeneo yao

    August 11, 2022
  • Tazama Yote

Video

Mikopo ya 10% ukombozi kwa wajasiriamali
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.