• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Miradi ya Kuhimili mabadiliko ya tabianchi Kongwa,yapongezwa kimataifa

Imewekwa: May 14th, 2024

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Wadau wa Mazingira kutoka nchi mbalimbali, wamelipongeza Shirika lisilo la Kiserikali la Foundation for energy and climate change (FECE) kwa kufanikisha miradi ya mabadiliko ya tabianchi Wilayani Kongwa, chini ya ufadhiri wa mfuko wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi (Adaptation fund)Hayo yamebainika wakati wa ziara maalumu ya ukaguzi wa miradi inayotekelezwa na Shirika la FECE 14 Mei 2024, wakati uwakilishi wa mataifa mbalimbali ulipotembelea miradi ya Shirika hilo ikihusisha bustani na josho la kuogeshea mifugo vilivyopo Kata ya Ugogoni.Akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Machenje wakati wa ukaguzi wa josho la mifugo, Afisa Mifugo bwana Msafiri V. Mkunda alisema mradi huo umesaidia kupunguza adha kwa wafugaji na kwa Sasa Kila mifugo hulazimika kulipiwa kiasi fulani cha fedha ili kuogeshwa, na fedha hiyo hutumika kugharamia uendeshaji wa josho.

Diwani wa Kata hiyo Mhe. Elizabeth Lenjima aliipongeza Serikali kutekeleza miradi hiyo katika Kata yake kwani imesaidia kutatua baadhi ya kero zilizokuwa zikiwakabili Wananchi.Naye Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la FECE Ndugu  Steven Mariki alisema wageni wamepongeza jitihada za shirika la FECE kwa kufanikisha miradi ya kuhimili mabadiliko ya tabianchi, na wapo tayari kufadhili mradi kwa awamu nyingine, kauli iliyoungwa mkono na Mratibu wa mfuko wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi bwana Faray Madziwa raia wa Zimbabwe."Licha ya Kongwa kuwa miongoni mwa maeneo yenye ukame,  tumefurahi kuona miradi ya kilimo cha Bustani za mbogamboga" alinukuliwa Madziwa.

Aliongeza kuwa wananchi kupitia kilimo cha umwagiliaji shamba la Chimotolo, wamezidi kuhamasika hivyo FECE sasa inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa ardhi kwa ajili ya kuwezesha wananchi wengi zaidi.Kwa Mujibu wa Bwana Mariki, ziara hiyo ilihusisha wageni kutoka mataifa mbalimbali ya ndani na nje ya  bara la Afrika, na ni utaratibu wa Kila mwaka kwa nchi zinazonufaika na mfuko wa mabadiliko ya tabianchi kutembelea nchi moja, ambapo Tanzania imetembelewa kwa mwaka huu.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.