• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Mkurugenzi Kongwa aonya wazazi wanaokatisha tamaa wanafunzi.

Imewekwa: February 13th, 2023

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Kongwa Dkt. Omary Nkullo amewataka wananchi wilayani humo kuacha tabia ya kuwashawishi wanafunzi kufanya vibaya katika  mitihani yao ili kuunga mkono jitihada za serikali za kuboresha Elimu.

Dkt. Nkullo amesema hayo wakati wa hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa nyumba ya walimu katika shule ya sekondari Chitego unaotekelezwa kwa ushirikiano wa Mfuko wa maendeleo ya Jamii TASAF na wananchi wa kata hiyo.

Katika mradi huo, TASAF imetoa jumla ya shilingi 189,842,954.54 ambapo wananchi wanatarajia kuchangia nguvu kazi na vitendea kazi ambavyo ni sawa na thamani ya shilingi 12,392,000.00/= hivyo kufanya mradi kutumia jumla ya shilingi 202,234, 954.54 hadi utakapokamilika.

Kwa mujibu wa risala ya mratibu wa TASAF ndugu Elias Chilemu, miongoni mwa fedha hizo, jumla ya shilingi 20,340,316.56 zitatumika kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji wa ujenzi wa nyumba hiyo yenye uwezo wa kuhudumia familia nne za walimu yaani "four in one".

Mgeni rasmi katika hafla hiyo mbunge wa jimbo la Kongwa na spika mstaafu wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Job Yustino Ndugai amewataka viongozi wa Kata ya Chitego kwa kushirikiana na kamati ya usimamizi wa mradi, kusimamia kikamilifu matumizi ya fedha zilizotolewa na serikali ili kukamilisha mradi huo kwa ufanisi.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. White Zuberi Mwanzalila amesema Tatizo la la mdondoko wa wanafunzi linasababishwa na wazazi hivyo ni jukumu lao kubadilika kwa kuwaheshimu na kuwathamini Watoto wao. Ameongeza kuwa endapo viongozi na wasimamizi wa mradi huo hawatatumia vizuri fedha hizo, Halmashauri itasitisha kupeleka fedha kwa ajili ya utekelezaji miradi mingine.

Katika tukio hilo, Mbunge Ndugai amekabidhi hundi mbili kutoka Benki ya NMB zenye jumla ya shilingi 171,955,177.55 hundi ya kwanza ikiwa ni shilingi 169,502,637.98 na ya pili ikiwa na thamani ya shilingi 2,452,539.57 kwa uongozi wa Kijiji cha Chitego kwa ajili ya utekelezaji wa mradi.


Matangazo

  • Kuitwa kwenye Usaili Ajira za muda -TASAF December 02, 2022
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022 December 01, 2022
  • Kuitwa kazini Ajira za Muda - TASAF December 06, 2022
  • Fomu ya Maelekezo ya kujiunga na shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaigwa. May 18, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Viongozi wa kisasa watakiwa kushirikiana na wataalamu

    March 12, 2023
  • Watendaji wote waahidiwa kupewa pikipiki

    February 17, 2023
  • Kongwa kumalizia tatizo la Upimaji Ardhi.

    February 14, 2023
  • Mkurugenzi Kongwa aonya wazazi wanaokatisha tamaa wanafunzi.

    February 13, 2023
  • Tazama Yote

Video

''KONGWA MMEUPIGA MWINGI''
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.