• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa ashiriki chakula cha mchana na wanafunzi wa darasa la saba.

Imewekwa: September 3rd, 2024

Na. Bernadethat Mwakilabi,


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kongwa Dkt Omary Nkullo amewataka wanafunzi wa darasa la saba kuweka juhudi na jitihada za kufanya vizuri katika mitihani yao ya Taifa ili waweze kufaulu na kuendelea na masomo ya sekondari.

Dkt. Omary Nkullo ameyasema hayo akiwa shule ya msingi Mbande alipokwenda kwaajili ya kushiriki chakula cha pamoja na wanafunzi hao 177 wanaotarajia kufanya mtihani wao wa Taifa septemba 11-12 mwaka huu shuleni hapo.

Aidha Dkt. Omary Nkullo amewataka wanafunzi hao kukataa kabisa suala la kufanyishwa kazi za ndani muda ambao wanatakiwa wasome ili kujiandaa vyema na mitihani kwani Serikali ya Mheshimiwa Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan imeweka nguvu kubwa kwenye sekta ya elimu ikiwemo kujenga madarasa na kusomesha wanafunzi bure ili kupata matokeo chanya ikiwemo wanafunzi wengi zaidi kupata fursa hiyo ya elimu.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Sejeli Mhe. Chilingo Chimeledya licha ya kukiri ushirikiano baina ya Serikali ya Kijiji na Wananchi lakini pia ameshukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuboresha miundombinu ya elimu katika Kata hiyo.

Nae Afisa Elimu Msingi (taaluma) ndugu Juma Butiye amewasihi walimu kuwafundisha wanafunzi jinsi ya kuishi na jamii katika kipindi ambacho watakuwa wamemaliza masomo.

Katika hafla hiyo pia yamefanyika maombi ya pamoja kwa ajili ya kuwaombea wanafunzi wote 8,160 wa Darasa la saba wilayani Kongwa wanaotarajia kufanya mtihani wao wa Taifa mwaka huu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA JIMBO LA KONGWA October 14, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini September 23, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili September 02, 2025
  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DED KONGWA AZINDUA DARASA JANJA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KIBAIGWA

    October 09, 2025
  • TRA KONGWA WAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

    October 09, 2025
  • DC KONGWA AKAGUA MIRADI YA ELIMU KATA YA LENJULU

    October 08, 2025
  • MAAFISA KILIMO WAMEAGIZWA KUWASAJILI WAKULIMA ILI WAWEZE KUPATA MBEGU ZA RUZUKU

    October 08, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.