• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Mkuu Mpya wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remedius Mwema Emmanuel, Aahidi kufanya kazi kwa Ushirikiano, Utii na Uadilifu katika Utumishi wake.

Imewekwa: June 22nd, 2021

Na Stephen Jackson - Kongwa DC

Mkuu mpya wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remedius Mwema Emmanuel ameahidi kufanya kazi kwa Ushirikiano, Utii na Uadilifu katika kipindi chake cha uongozi.

Mhe. Emmanuel, amesema hayo baada ya kuapishwa rasmi kushika wadhifa huo wa ukuu wa wilaya ya Kongwa. Kiapo hicho kimetolewa mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka, ambaye amewaasa wakuu hao wapya wa wilaya, kutokuwa na ulimbukeni wa madaraka na hivyo wafanye kazi zenye matokeo chanya.

Kwa upande mwingine Mkuu wa wilaya ya Kongwa, ametumia fursa hiyo kumshukuru  Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kumwamini na kumteua kuwa miongoni mwa vijana wachache wanaomsaidia.

Hivyo basi kwa namna ya pekee ameahidi pia kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ili kuwaletea maendeleo wananchi, hususani wa Wilaya ya Kongwa. Mhe.  Remedius Mwema Emanuel anachukua nafasi ya Mheshimiwa Dr. Suleimani Serera ambaye amebadilishwa kituo cha kazi.

Hafla hiyo ya kuapishwa Wakuu wa Wilaya za Kongwa na Kondoa imefanyika leo Juni 22, mwaka 2021 Mkoani Dodoma ambapo Wakuu wa Wilaya mbili wameapishwa akiwemo Dr. Dk Khamis Mkanachi aliyeapishwa kushika wadhifa huo Wilayani Kondoa.

Miongoni mwa wageni waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na Wakuu wa Wilaya nyingine za mkoa wa Dodoma, wakiwemo wale waliobadilishwa vituo vya kazi.

Matangazo

  • Kuitwa kazini Ajira za muda, Sensa ya watu na Makazi 2022. July 27, 2022
  • Tangazo muhimu kuhusu mabadiliko ya ratiba ya Mafunzo - Sensa 2022 July 29, 2022
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili wa Waombaji wa Kazi ya Kukusanya Taarifa za Anwani za Makazi na Postikodi Wilaya ya Kongwa March 11, 2022
  • Kuitwa kazini kwenye zoezi la ukusanyaji wa anwani za makazi na postikodi March 16, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAPONGEZWA UJENZI WA MIRADI YA MAJI

    August 14, 2022
  • DC Kongwa ahimiza wafanya biashara kulipa Kodi.

    August 12, 2022
  • Viongozi wa Kata na Vijiji watakiwa kusaidia wajasiriamali kwenye maeneo yao

    August 11, 2022
  • Viongozi wa Kata na Vijiji watakiwa kusaidia Vikundi kwenye maeneo yao

    August 11, 2022
  • Tazama Yote

Video

Mikopo ya 10% ukombozi kwa wajasiriamali
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.