• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wilaya ya Kongwa Kutokomeza Ndoa za Utotoni

Imewekwa: January 24th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua kampeni ya Kutokomeza Ndoa za Utotoni Wilayani Kongwa inayosimamiwa na Shirika la World Vision linalofanya kazi katika Tarafa ya Zoissa, Kata za Mkoka, Makawa na Matongoro.

Akizungumza kwenye uzinduzi huo uliofanyika jana atrehe 23 - 01 - 2018,  Mhe Ndejembi aliwahimiza wasimamizi wa mradi huo kujikita zaidi kwenye kutoa elimu katika jamii ili kuondokana na mila kandamizi. Aidha, amewataka wazazi na walezi kutowabagua watoto wao bali wawalee katika misingi ya usawa kwa kutoa haki sawa kwa watoto wote, wa kike na wa kiume ikiwemo haki sawa ya kupata elimu, kwani kuna baadhi ya wazazi bado wanaamini watoto wa kike ni kwa ajili ya kuolewa na wa kiume ni kwa ajili kurithi mali. 

Pia, Mhe DC amewataka wenyenyeji (kabila la wagogo) waachane na mambo ya ndima katika kusimamia haki za mtoto wa kike pindi inapotokea kwamba kuna mtoto ametendewa visivyo, sheria ifuate mkondo wake na jamii ishiriki kikamilifu katika kutoa utetezi mahakamani

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, Mhe. White Zuberi, aliwahimiza Wakuu wa Idara na Vitengo kuutumia vyema elimu iliyotolewa katika uzinduzi wa kampeni hiyo na kuwataka waisambaze kwa watendaji waliopo chini ya idara zao katika kufikisha ujumbe kwa wananchi wote. 

Aidha, Mwenyekiti amewakaribisha waendesha kampeni hii (Shirika la World Vision) katika mkutano wa Baraza utakaofanyika mwisho wa mwezi huu kufika kutoa elimu kwa madiwani ili wakatumike katika kata zao kusambaza elimu ya kutokomeza mimba za utotoni wilayani Kongwa.

Pia, Mwenyekiti,  amewaomba wasimamizi wa mradi wasijikite katika eneo dogo la kata tatu (3) tu, na badala yake wapanue mradi na kufikia maeneo mengine ya wilaya ya Kongwa katika tarafa zote tatu.

Mwishowe, washiriki wa uzinduzi huu wa kampeni ya kutokomeza ndoa za utotoni wilayani Kongwa kwa pamoja wameazimia kwamba elimu itolewe kwa wananchi wote kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na pia, katika kila mkutano na wananchi ndani ya wilaya ya Kongwa katika ngazi zote “Elimu kuhusu Madhara ya Ndoa za Utotoni” iwe agenda kuu.


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.