• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

MWENYEKITI KIJIJI CHA MLANJE ARUDISHWA MADARAKANI.

Imewekwa: July 21st, 2025


Na Bernadetha Mwakilabi

Habari - Kongwa DC

Mwenyekiti wa kijiji cha Mlanje kilichopo Kata ya Matongoro Wilayani Kongwa Ndugu Elisha Njingu Mpanda amerejeshwa madarakani baada ya Uchunguzi uliofanywa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kutokubaini hatia yoyote dhidi yake.

Hatua hiyo imekuja hivi karibuni baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe Mayeka Simon Mayeka kufika katika Kata ya Matongoro kwa lengo la kumrejesha madarakani mwenyekiti huyo aliyekuwa anakabiliwa na kosa la kusababisha vurugu kwa wananchi kwa  kuuza eneo la kijiji lililotengwa kwaajili ya malisho.

"Mwenyekiti wa kijiji cha Mlanje atarudishwa madarakani ili aendelee na majukumu yake lakini mwenyekiti wa kijiji cha Matongoro bado anaendelea na kesi yake mahakamani kwa kuwa uchunguzi uliofanywa ulibaini kuwa ana hatia". Alisema Mayeka.

Aidha Mhe. Mayeka amefafanua kuwa katika mgogoro ule mwenyekiti wa kijiji cha Mlanje alirubuniwa na Mwenyekiti wa kijiji jirani cha Matongoro ili wauze eneo la kijiji lililotengwa kwa ajili ya malisho na kuwauzia wakulima wa kijiji cha Matongoro ambapo mpaka wakati huu eneo hilo lililokuwa na hekari 12,000 kwa limebaki na hekari 2,000.

Akiongea mbele ya mkutano wa hadhara mwenyekiti wa kijiji cha Mlanje ndugu Mpanda amesema anashukuru uongozi wa Wilaya Kongwa na ofisi ya TAKUKURU kwa Uchunguzi walioufanya na kubaini ukweli na ameahidi kufanya kazi kwa bidii kwa kuzingatia sheria kanuni na taratibu za uongozi wa Serikali za mitaa ili wananchi waweze kuishi kwa amani na utulivu na kufanya shughuli zao za maendeleo.

Mwenyekiti wa kijiji cha Mlanje akiwa pamoja na Mwenyekiti wa kijiji cha Matongoro walisimamishwa kazi mnamo Februari 2025 kwa kosa la kushirikiana kuuza maeneo ya ardhi ya Vijiji hivyo kwa maslahi yao binafsi na kusababisha mgogoro wa mpaka baina ya Vijiji hivyo.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • ECOKAZI WATOA MAFUNZO KUHUSU BIASHARA YA KABONI

    July 24, 2025
  • WASIMAMIZI WA AFYA WANOLEWA UDHIBITI NA UTENGANISHAJI TAZIHA.

    July 23, 2025
  • MWENYEKITI KIJIJI CHA MLANJE ARUDISHWA MADARAKANI.

    July 21, 2025
  • DED KONGWA APONGWEZWA UTOAJI MIKOPO 10%.

    July 18, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.