• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Naibu Waziri, Mhe. Antony Mavunde Azindua Kampeni ya Upandaji Miti Wilayani Kongwa

Imewekwa: January 26th, 2018

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira Mhe Antony Mavunde amezindua rasmi kampeni ya upandaji miti Wilayani Kongwa  jana, Januari 25, 2018 katika maeneo ya chini ya safu ya milima Kiboriani eneo la Kijiji cha Ibwaga.

Katika uzinduzi huo, Mhe Mavunde amewataka wananchi wa Kijiji cha Ibwaga kuleta mabadiliko ya kifikira katika kuufanya Mkoa wa Dodoma kuwa wa kijani kwa kupanda miti na kutunza mazingira ili kuongeza fursa za kiuchumi ikiwemo za kilimo na ufugaji wa nyuki.

Mhe Mavunde amewataka wananchi hao wajitolee kuunda vikundi vya utunzaji wa mazingira ili viweze kufaidika na Mfuko wa Misitu Tanzania Forest Fund (TFF) unatoa ruzuku ya utunzaji wa misitu ili kuweza kujiinua katika fursa za kiuchumi ikiwemo ufugaji wa nyuki na katika mazingira hayo wanayoyatunza.

Aidha, aliwataka kutambua kwamba mkoa wa Dodoma ndio mkoa wa kipekee wenye ardhi inayokubali mazao tofautitofauti likiwemo zao pekee la zabibu ambalo ulimwenguni kote hilo likilimwa mkoani Dodoma huvunwa mara mbili kwa mwaka, hivyo utunzaji wa mazingira utawezesha fursa ya kilimo kuboreshwa. Mhe Mavunde alisisitiza kwa kusema “Nitajisikia huzuni sana kama zoezi hili halitafika mwisho na mwisho wa zoezi hili ni kuifanya Kongwa kuwa ya kijani”.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Deogratius Ndejembi ameeleza masikitiko yake kuhusiana na hali ya uharibifu wa mazingira wilayani Kongwa unaotokana na shughuli za kilimo na uchomaji wa mkaa na kuwataka wananchi wote kuthamini na kutunza mazingira.

Kwa upande wake Kaimu Afisa Mazingira (W), Bw. Godfrey Mujairi alisema katika uzinduzi huo itapandwa miti zaidi ya 1000 kando ya milima kijijini hapo na wanatarajia kupanda miti milioni 1.5 wilaya nzima. Na zoezi hili la upandaji miti litaambatana na kutunza visiki hai ili kufufua uoto wa asili pia miti inayostahimili hali ya ukame ndiyo waliyoichagua ikiwemo; mikungugu, mikorosho, mitimaji, panga uzazi na mimelea na upandaji huo umelenga kipindi cha mvua za Masika.



Matangazo

  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.